stabilityman JF-Expert Member Joined Jul 9, 2024 Posts 604 Reaction score 1,238 Jan 14, 2026 #1 Kwanini unapoongea na mtu humwangalii machoni?
min -me JF-Expert Member Joined Jul 20, 2022 Posts 47,696 Reaction score 131,817 Jan 14, 2026 #2 Umejuaje simwangalii machoni?
BLACKTIGER JF-Expert Member Joined Dec 21, 2012 Posts 4,344 Reaction score 6,865 Jan 14, 2026 #3 Nikiwa na hasira kali nakuchek kwa jicho la paka tiger Ila nikiwa kawaida haina haja kuangaliana labda km ni demu!
Nikiwa na hasira kali nakuchek kwa jicho la paka tiger Ila nikiwa kawaida haina haja kuangaliana labda km ni demu!