Ngomo
JF-Expert Member
- Oct 15, 2009
- 200
- 95
kuna kitun kinacho nitatiza hasa katika mahusiano. utakuta kama mmekaa na mke wako au mme wako kwa muda mrefu bila kugombana wala kufumaniana , lazima ataanza mmoja kutafuta visa vya bila mpango eti anamhisis mwenzake anatoka nje. Njia ni kuhakikisha kama mwenzake ni mwaminifu. hii imekuwa kero kwa watu ambao ni waaminifu na wastaarabu . Nauliza kwanini umuhisis vibaya mwenzako?