Siwez kuvaa shati moja Daily kauka nikuvae sio jadi yangu na ni vzr kubadilisha radha.😎Tuambie hapa nini inakusukuma kuanzisha mahusiano mapya na tayari una mpenzi mwingine ..?
Watu wamechoka kufichaficha...ndani ya miaka mitano ijao mtakubali tuu kuolewa double doubleKwahiyo imekuwa ruksa saivi hadi linaongelewa hadharan
Bonge la hatariWatu wamechoka kufichaficha...ndani ya miaka mitano ijao mtakubali tuu kuolewa double double
kubadilisha ladhaTuambie hapa nini inakusukuma kuanzisha mahusiano mapya na tayari una mpenzi mwingine ..?
yap,hujui?inayo ladha tofauti kwanii?
Sasa by nature uzinzi ni kushare. Hutaki kushare basi huku kwenye uzinzi waavhie wenyewe wee katulie kwenye ndoa yakotatizo hata wao wanao double double...
we need backup, OVER.Mkuu katika vitu unatakiwa uwe navyo makini nikuogopa kuachwa kwa hio kuwa na demu zaidi ya mmoja ni formula tuliyonayo wanaume kwa Sasa
Hii yote imetokana na kumpenda demu wa kwanza mkazinguana