Kwanini una wapenzi wawili au zaidi?

Sababu kuu ni kuwasaidia wanawake wasio na wanaume,maana ikitokea sisi wanaume tukasema kila mmoja abaki na mkewe,basi tambua kuna maelfu ya wanawake wataota kutu huko kwenye vipochi manyoa vyao
 
Mkuu katika vitu unatakiwa uwe navyo makini nikuogopa kuachwa kwa hio kuwa na demu zaidi ya mmoja ni formula tuliyonayo wanaume kwa Sasa

Hii yote imetokana na kumpenda demu wa kwanza mkazinguana
 
Back
Top Bottom