The Lastdream
JF-Expert Member
- Jan 23, 2024
- 1,952
- 4,629
kutoa hela ni wajibu kutegemea na mahusiano hayo unaelewa hilo?Ukishaweka wajibu wa kutoa hela kama nguzo ya kushikilia mahusiano basi hata uyo unayempa hela nae anajiuza anachotofautiana na wale wa kitambaa cheupe na wanaojipanga barabarani ni mbinu tu. Soma vizuri comment ya mshkaji
kama mahitaji ana wazazi wakeKwani yeye hana mahitaji yake
binafsi?
Uko sahihi kabisa mkuu ...mwanamke unaanza kumtongoza tu anakuuuliza utaweza kunihudumia ?hivi hapo anachomaanisha ni nini kama sio kusema utakuwa unanipa hela? Unakuwa na demu ambao munaishi mji mmoja ila makazi tofauti utakuta kwa mwezi unamchapa mara 7 tu ila kuanzia kodi ya nyumba ,kula,kusuka,kuvaa,bodaboda,sadaka kanisani,fungu la kumi,pedi,bando ni juu yako hivi kweli hapo utapiga hatua?Ukishaweka wajibu wa kutoa hela kama nguzo ya kushikilia mahusiano basi hata uyo unayempa hela nae anajiuza anachotofautiana na wale wa kitambaa cheupe na wanaojipanga barabarani ni mbinu tu
Nimesoma huu uzi nomejikuta nacheka kwa sauti wachaniendeleee kununua mbususu tu kila mtu aendelee na Maisha yakeUyo mwanamke ni mlemavu, ame-paralyse au mtoto yatima? Kama ishu ni sex iyo ni mutualy pleasure sasa kwanini mwanaume ugharamie.!
Hela anatakiwa kupewa na baba ake, no man have reaponsibility to take care of a girlfriend financialy, au kama anauza mbususu ataje bei twende geto tukamalizane nimlipe then no attachments.
The purpose of love relationship is to make love not to provide money. Nyie wanaume maboya embu amkeni basi.
Rais wa UWABATA jf
Na ivyo ndivyo inavyotakiwa. We do business then no attachments or we build relationship then each one will take care of his/her bills.Mimi binafsi ninachofanya ni kutenga tu kama 20000 au 15000 nawacheki mawakala wangu ambao wapo cotc na mwìngine yupo saut na mwingine TIA nawastua tu kuna yeyote mwenye bidhaa yakulika leo ? Kwahiyo akija hakuna cha chipsi wala soda hata maji nimejitahidi kabisa ni kukulipia bodaboda tu
Hapo shida ipo kwako.Uko sahihi kabisa mkuu ...mwanamke unaanza kumtongoza tu anakuuuliza utaweza kunihudumia ?hivi hapo anachomaanisha ni nini kama sio kusema utakuwa unanipa hela? Unakuwa na demu ambao munaishi mji mmoja ila makazi tofauti utakuta kwa mwezi unamchapa mara 7 tu ila kuanzia kodi ya nyumba ,kula,kusuka,kuvaa,bodaboda,sadaka kanisani,fungu la kumi,pedi,bando ni juu yako hivi kweli hapo utapiga hatua?
Kwani mkuu swali rahisikama mahitaji ana wazazi wake
kama anauza, basi anataja bei
simple
Hiyo si upendo hapo mnakuwa mmekutana malaya wawili tu.Na ivyo ndivyo inavyotakiwa. We do business then no attachments or we build relationship then each one will take care of his/her bills.
Unaongea kirahisi sana nimtafutie kitu chakufanya kwa pesa yangu tena ?Hapo shida ipo kwako.
Mtafutie kitu cha kufanya huwezi kumsikia anakusumbua?
Mbona hayo mambo mepesi mnalazimisha muumie hauwezi achana nae tu
Kwani kusuka, kodi, na vingine alikuwa analipa nani? Na Kwanini ulikuwa unLipa? Utagundua ni sababu unampenda.Unaongea kirahisi sana nimtafutie kitu chakufanya kwa pesa yangu tena ?
Sure mkuu. Sex is mutualy pleasure how comes a man have to pay for it? this is daylight robbery.Kuna mzee mmoja nilikuwa nabishana nae , nikamwambia kama unaongea ni wewe na ujinga wako, utamu moate wote na mwanamke ,hafu umlipe na ela
Wewe unachanganya sex na Love hapo ndipo unapoharibu,Sure mkuu. Sex is mutualy pleasure how comes a man have to pay for it? this is daylight robbery.
Kutoa hela iwe hiyari tena under very serious circumstances. by any means ukishaweka wajibu wa kutoa hela as a medium for exchange iyo ni biashara ya ngono vinginevyo uyo mwanamke awe mkeo.kutoa hela ni wajibu kutegemea na mahusiano hayo unaelewa hilo?
Absolutely.kama mahitaji ana wazazi wake
kama anauza, basi anataja bei
simple
Ehee hapo sasa sawa.Kutoa hela iwe hiyari tena under very serious circumstances. by any means ukishaweka wajibu wa kutoa hela as a medium for exchange iyo ni biashara ya ngono vinginevyo uyo mwanamke awe mkeo.
Hata mama ako pia na ww mwnywAkiwemo mama ako au sio
Jukumu langu kama Rais wa UWABATA ni kuwaamsha vijana. A man you must be selfish for the sake of your future plans, no woman deserve your money.Uko sahihi kabisa mkuu ...mwanamke unaanza kumtongoza tu anakuuuliza utaweza kunihudumia ?hivi hapo anachomaanisha ni nini kama sio kusema utakuwa unanipa hela? Unakuwa na demu ambao munaishi mji mmoja ila makazi tofauti utakuta kwa mwezi unamchapa mara 7 tu ila kuanzia kodi ya nyumba ,kula,kusuka,kuvaa,bodaboda,sadaka kanisani,fungu la kumi,pedi,bando ni juu yako hivi kweli hapo utapiga hatua?
Imepenya tulia upakwe dawaHata mama ako pia na ww mwnyw
Kwanini umtafutie cha kufanya mkuu? ilo jukumu lake, kupitia 50/50 mwanamke ashapewa access zote za kujipambania mwenyewe, mbona mnataka kuwa-treat hawa wanawake kama vile ni watoto wadogo. Mawazo kama yako matokeo yake wanawake ndio wanajiona wanatakiwa kubebwa bebwa tu kwenye kila kitu.Hapo shida ipo kwako.
Mtafutie kitu cha kufanya huwezi kumsikia anakusumbua?
Mbona hayo mambo mepesi mnalazimisha muumie hauwezi achana nae tu