Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,438
- 3,951
Wana jamnvi, ebu tukae tutafakari, Kwanini mtu awe maskini. Kinachoweza kumsaidia mtu kuwa na maisha yake ya kawaida ni uwezo wake wa kufanya kazi, Elimu hata ikiwa ndogo bado anakuwa na uwezo wa kutafuta. Je kuna kitu kingine kinacho muandama mwanadamu na kumkandamiza ili asiwe hata na maisha ya kawaida. Je kitu hicho kinacho muandama kinaweza kuondolewa ili kisiendelee kumdidimiza mwanadamu. Kwa sasa tunao matajiri ambao hata darasa la 7 hawakufika na tunao wasomi walio jitahidi kupata pesa kwa njia zao nao matajiri. Kunani?