The redemeer
JF-Expert Member
- Jan 28, 2025
- 4,778
- 8,207
Wanajifunza vitu visivyoweza kuufungua ufahamu wao juu ya mazingira yao waone fursa tele zilizopoSasa inahusiana vipi na mada yetu ya umaskini mkuu?
Wanajifunza vitu visivyoweza kuufungua ufahamu wao juu ya mazingira yao waone fursa tele zilizopoSasa inahusiana vipi na mada yetu ya umaskini mkuu?
Mfumo wa ajira ukifumuliwa jamii nzima itashake, na kuna tatizo litajitokeza ndani ya muda fulani ukipita litaonekana mana haoa wasomi wanatoka kwenye elimu kwenda kufany kazi taasisi zote za jamii. Kinacholeta tija hapo labda ni kiongezewa maarifa mapya ya kuikabili mitaa kwa crafts na artisan skills ili wasiwe tegemezi kabisaHuu mfumo wetu kijana anapokosa ajira anakuwa ni kama mlemavu hawez chochote tena hakuna ubunifu wa kutengeneza hela ni wachache sana wanaokuwa na uwezo huo
We unazungumzia Chakra na elimu nyota sio?. Fursa tele ni zaidi ya ufaham wa mtu, na facilities au resources alizo nazo. Mm naamin si kama vijana hawaon fursa tele zilizopo, swala fursa hizo zinahitaji mtu mwenye vitendea kazi vya aina ganWanajifunza vitu visivyoweza kuufungua ufahamu wao juu ya mazingira yao waone fursa tele zilizopo
Msingi wa mtaji wa mwanadamu ni kitu inaitwa 4H.We unazungumzia Chakra na elimu nyota sio?. Fursa tele ni zaidi ya ufaham wa mtu, na facilities au resources alizo nazo. Mm naamin si kama vijana hawaon fursa tele zilizopo, swala fursa hizo zinahitaji mtu mwenye vitendea kazi vya aina gan
Unazungumzia afrika mkuu, third world countries. Ukiweka argument usisahau kuhusu context. Kuna vitu vingi China vinawezekana lakin Afrika vinakula msamba kila kukicha. Hapo mbele ya Matendo nashauri uweke na MATOKEO mana ukiacha hivyohivyo matokeo yanaweza kuwa "Uncertainties".Msingi wa mtaji wa mwanadamu ni kitu inaitwa 4H.
1.HEAD
2.HAND
3.HEART
4.HEALTH
Ili ufanikiwe inatakiwa umatch vifuatavyo. WAZO +NIA + DHAMIRA+MATENDO
Ukiwa na dhamiri usubiri mtaji.
Vijana wanataka connection ziwafate vitandani huku wanachati.
So vitendea KAZI ndo hio 4H.
Falsafa ya kichina inasema ukitaka kulima usisubirie jembe litakuja.
Matokeo uja baada ya mlipuko.Matendo nashauri uweke na MATOKEO
use your common sense,Nonsense,