raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,866
- 36,990
Kabisa.! Ila huna uhakika kuwa Mungu unamtafuta katika dini pekee. Sivyo?Na uwepo wako hapa duniani unafikiri hauna muunganiko na imani..
Imani ambazo zipo ktk Dini na wewe umezitukana. Kwamba kupitia hizi imani thats why we exist.
Yani hatukutokea ktk hii planet kwa bahati mbaya.
Wengi wao hulipwa pesa waseme watakachoambiwa wasemeHivi, hawa wanaotoa ushuhuda ni kweli wanapona? Au ni uoga tu?
Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
Why raraa reree?Kanisani ni kama hospitali
Mimi sijaacha lkn nimepunguza na nimegundua misa nyingi ninazoenda ni za harusi na misiba [emoji482]
Nimeshuhudia visa vya watu kadhaa wakibabaika mbele za watu baada ya kukosea kutoa ushuhuda.Wengi wao hulipwa pesa waseme watakachoambiwa waseme
mimiamadiwenani niliacha kuamini mungu yupo baada ya kuona video fulani kisha kufanya utafiti wangu.... kiukweli niseme tu, naona maisha yangu yamekua bora zaidi sasa ambavyo siamini kwenye mambo ya mbinguni na kuzimu
Imani hazipo katka Dini, fungua akili yako Em fany pitia vizuri maandiko ya kitabu cha Dini yako alaf uone mkanganyiko uliopo humo,Na uwepo wako hapa duniani unafikiri hauna muunganiko na imani..
Imani ambazo zipo ktk Dini na wewe umezitukana. Kwamba kupitia hizi imani thats why we exist.
Yani hatukutokea ktk hii planet kwa bahati mbaya.
Out of point. Una 2/100%Mtoa post nenda msikitini achana na mambo ya dini za wenzako huyawezi
Hapa unamaanisha..!?ninazoenda
Kazi ndogo sana hiyo.kivipi sasa, itabidi unipe uthibitisho kwamba kweli yeye yupo😅
ni ya katuni😂 nikutumie??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] video gani? Uvivu tu wa kwenda kanisani
Umeongea kitu kikubwa sana katika imani yoyote huwezi jisifia kutenda dhambi.Huwezi kumkuta Muislamu hata akiwa haendi msikitini ,haswali na mfanya maasi akijianika na kujisifia kuwa haendi msikitini ,labda huyo awe ameachana na imani ya mara nyingi huwa ujasiri huo hana kwani nafsi yake itakuwa inamsuta.
Misingi ya Uislamu ni haitakiwi mtu kutangaza uovu wake ikiwa Mwenyezi Mungu amemsitiri kwani ni uovu mkubwa mtu kufanya kibri katika maasi na kujisifia kuliko hata uovu wa kosa lenyewe.Na kuna uwezekano mkubwa asitubie kwa kuona ni kitu kizuri ila yule mwenye hofu na akaficha aibu zake kuna uwezekano mkubwa wa kupata rehma akatubu au kusamehewa.
Ila nashangaa upande wenu kila mtu anafunguka bila wasiwasi kama amefanya jambo ambalo zuri , huu sio uzi wa kwanza upo uzi mwingine watu wakijisifia masiku ambayo wasiyoenda Kanisani wakijiona watabe . Unakuta na mtu humu anahubiri neno la biblia lakini u amkuta kesho anapost uzi jinsi anavyogegeda watoto wa watu tena wakati mwingine akijisifu bila aibu.
Cute wife why nimuambie yeye na si wewe? Wewe nina uhakika 100+% ni jike. Ila huyo niliyemtaja mmmmh, niishie hapa.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119]
nice.....Kazi ndogo sana hiyo.
Alikuwepo.
Yupo.
Atakuwepo milele.
He is the ancient of days.
Kazi ya kukuaminisha naiweka kwenye file lenye jina PROJECT MSHAMBA HACHEKWI.
Hili file likikamilika lazima uje tuimbe wote kwaya.
Una shida za kiroho tiba yake moja wapo ni kanisan unahisi upweke na unataka kusoshalaizi njia moja wapo ya kupunguza hio kitu ni huko etc
Wewe cute wife unaonekana unakwenda kanisani bila reasoning![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] video gani? Uvivu tu wa kwenda kanisani
Usiichukulie dini kama technical term...Imani hazipo katka Dini, fungua akili yako Em fany pitia vizuri maandiko ya kitabu cha Dini yako alaf uone mkanganyiko uliopo humo,
ukishindwa sema tukusaidie kuuona huo mkanganyiko na uongo wa vitabu vya Dini.
Kwamba jua linazunguka[emoji3][emoji16] kumbe dunia ndiyo inazunguka. Galileo aliwasanua wengi mno.Imani hazipo katka Dini, fungua akili yako Em fany pitia vizuri maandiko ya kitabu cha Dini yako alaf uone mkanganyiko uliopo humo,
ukishindwa sema tukusaidie kuuona huo mkanganyiko na uongo wa vitabu vya Dini.