Wakuu kama kichwa cha uzi kinavyosomeka hapo juu.
Hivi ni kwa nini mtu ukiwa huna pesa, yaani ninamaanisha ukiwa na maisha duni unadharaulika?
Na hili utaliona kuanzia ngazi ya familia, jamii inayokuzunguka na muda mwingine hata kwenye nyumba za ibada.
Ni kwa nini mtu kama huna kitu watu wanashindwa kuthamini hata utu wako?
Hivi ni kwa nini mtu ukiwa huna pesa, yaani ninamaanisha ukiwa na maisha duni unadharaulika?
Na hili utaliona kuanzia ngazi ya familia, jamii inayokuzunguka na muda mwingine hata kwenye nyumba za ibada.
Ni kwa nini mtu kama huna kitu watu wanashindwa kuthamini hata utu wako?