2024 Utamaduni wa kukopana pesa ufe. Ni utamaduni wa kijima.

Kiboko ya Jiwe

JF-Expert Member
Apr 7, 2020
12,705
36,157
Kadri ya ubepari unavyoenea duniani hali ya uhitaji wa fedha kwa mtu mmoja mmoja imekuwa kubwa mno.
Sio wafanyabishara, sio wafanyakazi, sio watu wa vijiweni. Wote hao wanahitaji pesa kutatua changamoto zao za hapa na pale.
Ukizoeana na mtu iwe alikuwa classmate wako au mulikuwa mukisali kanisa moja au msikiti mmoja kinachofuata ni kukuazima pesa .
Utasikia tu niazime laki keshokutwa nakurudishia, ukimuuliza kwanini usisubiri hiyo keshokutwa utatue hiyo changamoto yako hana jibu la maana.
Ukimwambia subiri, atasubiri bila aibu siku ambayo aliahidi kukurejeshea pesa endapo ungemwazima anakukumbushia tena kama umepata umwazime. Inamaana kama ungemwazima asingekupa siku aliyokuahidi.
Wengine ni viongozi kwenye nyumba za ibada lakini si waaminifu. Ukiwakopesha pesa wewe ndiye unapaswa ugeuke kuwa mtumwa wao uanze kuwazongazonga Ili wakulipe. Ukizubaa wanajisahaulisha.
Kama kutakuwa na ulazima nitamsaidia mtu pesa bila kumkopesha (Halmashauri ya kichwa itajihakikishia sababu angalau 5 kwanini nimpe pesa huyo mtu ndipo nitampa).
Leo terehe 01.01.2024 kuanzia dakika hii sitamwazima mtu pesa, kama pesa ni rahisi kuipata itoshe kusema kuwa kila mtu aihangahikie mwenyewe.
 
Kadri ya ubepari unavyoenea duniani hali ya uhitaji wa fedha kwa mtu mmoja mmoja imekuwa kubwa mno.
Sio wafanyabishara, sio wafanyakazi, sio watu wa vijiweni. Wote hao wanahitaji pesa kutatua changamoto zao za hapa na pale.
Ukizoeana na mtu iwe alikuwa classmate wako au mulikuwa mukisali kanisa moja au msikiti mmoja kinachofuata ni kukuazima pesa .
Utasikia tu niazime laki keshokutwa nakurudishia, ukimuuliza kwanini usisubiri hiyo keshokutwa utatue hiyo changamoto yako hana jibu la maana.
Ukimwambia subiri, atasubiri bila aibu siku ambayo aliahidi kukurejeshea pesa endapo ungemwazima anakukumbushia tena kama umepata umwazime. Inamaana kama ungemwazima asingekupa siku aliyokuahidi.
Wengine ni viongozi kwenye nyumba za ibada lakini si waaminifu. Ukiwakopesha pesa wewe ndiye unapaswa ugeuke kuwa mtumwa wao uanze kuwazongazonga Ili wakulipe. Ukizubaa wanajisahaulisha.
Kama kutakuwa na ulazima nitamsaidia mtu pesa bila kumkopesha (Halmashauri ya kichwa itajihakikishia sababu angalau 5 kwanini nimpe pesa huyo mtu ndipo nitampa).
Leo terehe 01.01.2024 kuanzia dakika hii sitamwazima mtu pesa, kama pesa ni rahisi kuipata itoshe kusema kuwa kila mtu aihangahikie mwenyewe.



Taifa lako linajenga barabara kwa mkopo, ambayo unaitumia kuendeshea ka vitz ka shemeji yako.
 
Kadri ya ubepari unavyoenea duniani hali ya uhitaji wa fedha kwa mtu mmoja mmoja imekuwa kubwa mno.
Sio wafanyabishara, sio wafanyakazi, sio watu wa vijiweni. Wote hao wanahitaji pesa kutatua changamoto zao za hapa na pale.
Ukizoeana na mtu iwe alikuwa classmate wako au mulikuwa mukisali kanisa moja au msikiti mmoja kinachofuata ni kukuazima pesa .
Utasikia tu niazime laki keshokutwa nakurudishia, ukimuuliza kwanini usisubiri hiyo keshokutwa utatue hiyo changamoto yako hana jibu la maana.
Ukimwambia subiri, atasubiri bila aibu siku ambayo aliahidi kukurejeshea pesa endapo ungemwazima anakukumbushia tena kama umepata umwazime. Inamaana kama ungemwazima asingekupa siku aliyokuahidi.
Wengine ni viongozi kwenye nyumba za ibada lakini si waaminifu. Ukiwakopesha pesa wewe ndiye unapaswa ugeuke kuwa mtumwa wao uanze kuwazongazonga Ili wakulipe. Ukizubaa wanajisahaulisha.
Kama kutakuwa na ulazima nitamsaidia mtu pesa bila kumkopesha (Halmashauri ya kichwa itajihakikishia sababu angalau 5 kwanini nimpe pesa huyo mtu ndipo nitampa).
Leo terehe 01.01.2024 kuanzia dakika hii sitamwazima mtu pesa, kama pesa ni rahisi kuipata itoshe kusema kuwa kila mtu aihangahikie mwenyewe.
Umaskini mbaya sana
 
toka mwaka jana mwez wa kwnza mahakama ya kichw changu ilipojithibitishia baada ya uchunguzi kuwa ile laki 2 niliyompa rafiki angu wa karbu na undugu akanichukulie bidhaa kwaajili ya biashara kuwa nmedhulumiw nikaapa kwny hela yngu sitamwani yyte had mama
 
Mikopo inaua undugu,urafiki,ujamaa
Ni kweli kabisa. Kuna jamaa nilimkopesha pesa lakini hadi leo hajairudisha na ukaribu wetu umeisha.

Jamaa mwingine kaniomba leo asubuhi kuwa nimkopesha kiasi cha pesa na atarudisha tar 5 ya Januari hii. Nimemjibu sina.

Kiukweli watu wamekuwa na mtindo wa kukopa pesa lakini hawakumbuki kurejesha.
 
kuna mshkaji wangu nilimkopesha laki tano, hatukuwa na makubaliano itarudije maana ni mwanangu sana, Baada ya miezi mitatu nikadai ile hela ebanae ile hela haikurudi mwaka wa kwanza, wa pili. wa tatu, wa nne hola mimi nikapotezea tu wala sikuwa namdaidai na sikutaka kumkaushia.

niliuja tu kuna siku atakuja tu kunisaidia na yeye hata kama sio msaada wa kifedha, kweli bana mwaka jana niko na project ya ujenzi nimedizaini nikmpa jamaa achore floorplan akanichorea vile nataka, nimefanya project yote kilakitu namuuliza ananipa maelezo ya kitaalamu ( jamaa alisoma civil kipindi namkopesa alikua bado anajitafuta) mjengo ukatoka unyama kufikia hapo kama ni malipo ile hela niliomkopaga ishaisha.

Badae kwenye finishing hela zikaisha jamaa akanilipa ile laki 5 (sikumdai) halafu ikapita wiki akanipa laki3 bure aisee saivi hapa duniani hayupo mtu naemjua wa kunipa laki3 bure tofauti na huyo mwamba.

nikajifunza kama unamdai mtu na hakulipi kwa wakati potezea tu usiongee sana maana midomo inaponza na hela hulipwi.
 
nilishaga msamehe ila cha ajabu hata nikimkuta anafurukuta anaumwa anahitaji msaada wa shilingi mia tu anatibiwa na kupona kabxa nami niwe nayo sitampa nitamwacha afe
TEMA mate chini wewe unauhakika gani hautaumwa na kumwacha yeye
Tena usijeshangaa wewe ndo ukapata huo ugonjwa wa kufa na yeye ndo akausaidia
Acha kuongea ujinga hakuna ajuaye kesho

Unaongea as if hutakaa upate shida
 
kuna mshkaji wangu nilimkopesha laki tano, hatukuwa na makubaliano itarudije maana ni mwanangu sana, Baada ya miezi mitatu nikadai ile hela ebanae ile hela haikurudi mwaka wa kwanza, wa pili. wa tatu, wa nne hola mimi nikapotezea tu wala sikuwa namdaidai na sikutaka kumkaushia.

niliuja tu kuna siku atakuja tu kunisaidia na yeye hata kama sio msaada wa kifedha, kweli bana mwaka jana niko na project ya ujenzi nimedizaini nikmpa jamaa achore floorplan akanichorea vile nataka, nimefanya project yote kilakitu namuuliza ananipa maelezo ya kitaalamu ( jamaa alisoma civil kipindi namkopesa alikua bado anajitafuta) mjengo ukatoka unyama kufikia hapo kama ni malipo ile hela niliomkopaga ishaisha.

Badae kwenye finishing hela zikaisha jamaa akanilipa ile laki 5 (sikumdai) halafu ikapita wiki akanipa laki3 bure aisee saivi hapa duniani hayupo mtu naemjua wa kunipa laki3 bure tofauti na huyo mwamba.

nikajifunza kama unamdai mtu na hakulipi kwa wakati potezea tu usiongee sana maana midomo inaponza na hela hulipwi.
Mtu anaweza asikulipe ila baadae akakusaidia pakubwa sana zaidi ya hela uliyompa
Wema ni akiba hakuna ajuaye kesho
 
Back
Top Bottom