pole mkuu, dawa yao ni pale watakopofika 27,28, 29, 30 aged alafu no muelekeo.. Ngoja niishie hapo.
live mwana matusi wanayatumia kama ngao ila hawanaga mishe jino moja ka outomatic
Anyway inategemea na mtu tu, tabia, malezi, uzoefu nk..maana km upo kwenye stress mtu akakupiga mistari ni challange ka challange nyingine..unaeza kukabiliana nayo kawaida tu..unajua nini,sometmz mtu una mastress yako mawazo yani kichwani network busy af mtu unaleta mamitongozo tena ukute hayajaenda skul mtu.anaambiwa haelewi.eeh ajue matusi yatafuata
Mi jana tu nimetoka kutukanwa
Kwa hio nikikutongoza utanitukana?
Hao sio ni wavulana
Mmmmmmmmh
guna yako ya kichokozi ujue!!