vile vile wanatukana wale ving'ang'anizi,
mtu huna hadhi lakini umekomaa tu, kwanini asikutukane!
Unaposema hadhi unamaanisha nini...naomba unielimishe hapa
Naona umeamua kubadilisha jina kuhonga na kuita ulivyokuaita.....kama ndio hivyo majanga....nlidhani tunatukanwa sisi tusiotoa ha sumuni...kumbe hata wewe ambae huwa unatoa ikibidi..Sihongi ila natoa ikibidi
Status kivip mkuu? Manake navyojua mimi mwanamke ni mwanamke tu!! Na akipata mwanaume lengo kuu ni kutiwa tu, hakuna jingine! Mnaposema status mna maanisha nini?? Au kuna wengine ni wa mapambo na wengine ni wa kutiwa??
sasa mbona story unaitoa kama yameshakukutaSijawahi tukanwa mkuu
Status kivip mkuu? Manake navyojua mimi mwanamke ni mwanamke tu!! Na akipata mwanaume lengo kuu ni kutiwa tu, hakuna jingine! Mnaposema status mna maanisha nini?? Au kuna wengine ni wa mapambo na wengine ni wa kutiwa??
Nakubali kama a lady na pia wapo wanaume ambao unawakataa kistaarabu ila wanaanza kukutukana na kukuzushia stori hao unawachukuliaje?