Kwanini ukitongozwa unatukana badala ya kukataa?

Kwanini ukitongozwa unatukana badala ya kukataa?

Nimetukanwa sana ---- mara jiangalie sura yako ilivo eeeh huna hadhi .ila sasa baadaa ya kuonana nao tena uzuri wao wote haupo wamekuwa kama wabibi halafu mie napita kwa pembeni bila salaam mdogo mdogo na noah
 
Nimetukanwa sana ---- mara jiangalie sura yako ilivo eeeh huna hadhi .ila sasa baadaa ya kuonana nao tena uzuri wao wote haupo wamekuwa kama wabibi halafu mie napita kwa pembeni bila salaam mdogo mdogo na noah

Hawaombi lifti mkuu??
 
We mi cfi kw presha ksa mtongozo yaan ucpontongza hata miaka kum yan nakua fresh tena na nenepa maana nakuwa km nimetua tufe kah. Af mtongz unaomwendea mdad inategemea, na wadad wa stail hyo ni foolsh age anakuona we mbaba mkubwa age yako huna?

Inategemea na uumri wako kama ni above 30 weng huwa hawajali mitongozo
 
yaani umaskini mbaya sana....ila na ushamba pia na kasumba za kijinga...mimi naamini mwanamke anaejielewa hawezi kutukana wala kuleta pozi za kijinga...ila vimeo ndo unakata pozi na kunata kwingi
 
ha ha ha kwamba huyu kazi kutuma vimeseji dem akiuchuna kumpima imani "sina salio" anajibu poa wangu ukirecharge nichek ataachaje kutukanwa lol....

kwahiyo ka si hadhi ukijibu bila dharau na matusi..inakua shida sana eeehee..?
 
Kutukanwa wakati wa kutongoza ni jambo la kwaida sana, inachotakiwa ni kusoma alama za nyakati ukiona ngoma nzito inabidi uendane na uzito wake, ila mara nyingi mademu wa hivyo ukikaza buti kidogo tu unakula mzigo kilaiiini!
 
kwahiyo ka si hadhi ukijibu bila dharau na matusi..inakua shida sana eeehee..?

unajua nini,sometmz mtu una mastress yako mawazo yani kichwani network busy af mtu unaleta mamitongozo tena ukute hayajaenda skul mtu.anaambiwa haelewi.eeh ajue matusi yatafuata
 
unajua nini,sometmz mtu una mastress yako mawazo yani kichwani network busy af mtu unaleta mamitongozo tena ukute hayajaenda skul mtu.anaambiwa haelewi.eeh ajue matusi yatafuata

Hapana wapo wanaotongozwa wakiwa wametulia na jibu lake la kwanza ni tusi sio kwamba amesumbuliwa wala nn
 
Wewe akikutukana mpotezee na ujikaushe utadhani hujawahi kumtongoza.
 
Back
Top Bottom