Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 371,669
- 860,984
- Thread starter
- #21
Nguvu ya macho kwenye mawasiliano ya kiroho.... Huhawilisha na kuvutia nishati hailkn pia Mimi nikimkazia mtu kumtazama kichogoni lazima mtu huyo ageuke hii hali husababishwa na nini? Yani huwa sipatagi tabu kuinua sauti yangu kumuita mtu, kama mtu nashida nae huwa nalenga macho yangu ktk ncha ya kichogo chake kwa umakini bila kukopea lazima mtu huyo ageuke kunitazama.