Kama JPM angekuwa anajiamini hivyo si angemruhusu Lowasa ataapike nyongo yake hadharani pale Jangwani?? Mbona mnamzuia? Huo ushahidi auweke wapi kama sio hadharani tuujue tujinyamazie?? Nenda sasa weye mahakamani
mkubwa kwa sheria ipi na kifungu kipi, na dunia ya leo usingoje ufanyiwe anza kwenda wewe mahakamni maana mtu yeyote anaweza kwenda mahakamani anapoona sheria imevujwa. Nenda fasta, kama huna nauli pitia lumumba wakupeKila mara nimekuwa nikimsikia Lowassa, Mbowe, Mbatia &Co. wakisema kwamba wameibiwa kura kwenye uchaguzi uliopita lakini bila kutoa ushahidi wowote ule, sasa nauliza ni kwa nini wasishitakiwe kwa uzushi ambao wanajaribu kuwaaminisha baadhi ya watu mambo ya Uongo?
Hivi sasa kuna baadhi ya wananchi wamepoteza Imani na Serikali na vyombo vyake kwa sababu ya tuhuma za ukawa kwamba serikali yetu iliiba kura wakati mpaka leo hii ukawa hawajaonyesha ushahidi wowote ule. Sasa hamna sheria ya kuwashitaki?
Kila mara nimekuwa nikimsikia Lowassa, Mbowe, Mbatia &Co. wakisema kwamba wameibiwa kura kwenye uchaguzi uliopita lakini bila kutoa ushahidi wowote ule, sasa nauliza ni kwa nini wasishitakiwe kwa uzushi ambao wanajaribu kuwaaminisha baadhi ya watu mambo ya Uongo?
Hivi sasa kuna baadhi ya wananchi wamepoteza Imani na Serikali na vyombo vyake kwa sababu ya tuhuma za ukawa kwamba serikali yetu iliiba kura wakati mpaka leo hii ukawa hawajaonyesha ushahidi wowote ule. Sasa hamna sheria ya kuwashitaki?
....
Leo hii kila mtu anajua kwamba Raisi wa JMTZ ni Dr.Pombe Magufuli, ameshapongezwa na nchi nyingi Duniani ikiwemo Marekani, Umoja wa Ulaya hata Ban Ki Moon Mkuu wa Umoja wa Mataifa, majirani zetu wote akiongozwa na Mkuu wa AU walifika kwenye sherehe ya kumuapisha Raisi wetu sasa huko kutokumtambua Raisi Magufuli kunakoendelezwa na ukawa kutasaidia nini kama Dunia nzima imesharidhia kwamba Uchaguzi ulikuwa huru na wa haki?
Kila mara nimekuwa nikimsikia Lowassa, Mbowe, Mbatia &Co. wakisema kwamba wameibiwa kura kwenye uchaguzi uliopita lakini bila kutoa ushahidi wowote ule, sasa nauliza ni kwa nini wasishitakiwe kwa uzushi ambao wanajaribu kuwaaminisha baadhi ya watu mambo ya Uongo?
Hivi sasa kuna baadhi ya wananchi wamepoteza Imani na Serikali na vyombo vyake kwa sababu ya tuhuma za ukawa kwamba serikali yetu iliiba kura wakati mpaka leo hii ukawa hawajaonyesha ushahidi wowote ule. Sasa hamna sheria ya kuwashitaki?
Kila mara nimekuwa nikimsikia Lowassa, Mbowe, Mbatia &Co. wakisema kwamba wameibiwa kura kwenye uchaguzi uliopita lakini bila kutoa ushahidi wowote ule, sasa nauliza ni kwa nini wasishitakiwe kwa uzushi ambao wanajaribu kuwaaminisha baadhi ya watu mambo ya Uongo? Hivi sasa kuna baadhi ya wananchi wamepoteza Imani na Serikali na vyombo vyake kwa sababu ya tuhuma za ukawa kwamba serikali yetu iliiba kura wakati mpaka leo hii ukawa hawajaonyesha ushahidi wowote ule. Sasa hamna sheria ya kuwashitaki?
hivi unajua ni kwa nini serikali ya CCM walikivamia kituo cha tallying cha Chadema ?
unajua kwamba matokeo ya vituoni na yale yaliyokua yakitangazwa na tume hayakua yakilingana ?
na mfano mzuri ni kura za Tunduma.
unajua kwa nini CCM walikataa kushirikisha wapinzani kwenye majumuisho ya daftari la mpiga kura ?
unajua kwa nini CCM wankataa uwepo wa TUME huru ya uchaguzi ?
unajua kwa nini wakati tunaelekea kwenye uchaguzi,Kikwete aliteua makamishna wapya wa tume ya uchaguzi ?
unajua kwa nini tume ilikataa matokeo ya urais yasitangazwe vituoni ?
bado wahitaji kufumbuliwa macho?
unajua kwa nini kamati za ulinzi na usalama aka kamati za wakuu wa mikoa na wilaya ndio zilizokua zikiratibu matokeo wakishirikiana na wakurugenzi ?