Kwanini ujiunge na CHADEMA na kuachana na CCM...

chama,

..population ya Tz inakadiriwa kuwa zaidi ya mara 3 ya ile ya Zambia.

..lakini ukiangalia GDP hakuna tofauti kubwa kati ya Tanzania na Zambia.

..sijui hali hiyo unaielezea namna gani.

Kimsingi uchumi wetu upo juu zaidi labda ukiwatumia wachumi kama Lukosi hapo utadai uchumi za Zambia ni bora, najua unataka kugusia per capital income lakini elewa wachumi wengi hawapendelei kuitumia kwasababu mara nyingi per capital income haionyeshi kipimo sahihi cha uchumi, kigezo kingine kinachotumika kama kipimo cha uchumi ni exchange rate ya dollar; kwani tunaposema Kenya uchumi wao upo juu ni kwasababu wao shilling yao bado haijaporomoka lakini kwa ugumu na ukali wa maisha watanzania tuna nafuu ukilinganisha wa kenya, hivi sasa dollar 1 inanuliliwa kwa Z kwacha 5120 hiyo pekee inakuonyesha uchumi wao upo kwenye hali gani ukilinganisha na wetu

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Kwa midata hiyo ambayo mwananchi haoni mabadiliko lakini unasema uchumi umekua sahau kura kutoka kwa watu Kama hao

Tatizo la makamanda kama wewe ni shule kwa hiyo inabidi nikuchukulie kama ulivyo; lakini data ni muhimu sana.

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Tatizo la makamanda kama wewe ni shule kwa hiyo inabidi nikuchukulie kama ulivyo; lakini data ni muhimu sana.

Chama
Gongo la mboto DSM
Shule? Ni kweli wewe shule yako ni kubwa sana mkuu ndio maana unapaste data hapa halafu upo USA unafanya kazi kwenye federal government Kama consultant hongera sisi tupo hapa hapa tunabangaiza kwahiyo midata Kama hiyo hatuwezi kuyaanalyze
 
Shule? Ni kweli wewe shule yako ni kubwa sana mkuu ndio maana unapaste data hapa halafu upo USA unafanya kazi kwenye federal government Kama consultant hongera sisi tupo hapa hapa tunabangaiza kwahiyo midata Kama hiyo hatuwezi kuyaanalyze

Cha pele kikali kamanda piga bati la peshawar linatosha!

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Cha pele kikali kamanda piga bati la peshawar linatosha!

Chama
Gongo la mboto DSM
Ni kweli cha pele Kama wale wasanii anaowapromoti mkuu ndio walionifundisha na hiyo elimu waliipata kwa promota wao huyo kwa mujibu wao kwani hata yeye ni mtumiaji mzuri
 
Shule? Ni kweli wewe shule yako ni kubwa sana mkuu ndio maana unapaste data hapa halafu upo USA unafanya kazi kwenye federal government Kama consultant hongera sisi tupo hapa hapa tunabangaiza kwahiyo midata Kama hiyo hatuwezi kuyaanalyze
Umeua kamanda, kijana amekazania mfano wa Zambia, mbona haongelei wa china na viwanda kitu ambacho Lukosi kakiongelea Kwenye hotuba yake?
 
Kimsingi uchumi wetu upo juu zaidi labda ukiwatumia wachumi kama Lukosi hapo utadai uchumi za Zambia ni bora, najua unataka kugusia per capital income lakini elewa wachumi wengi hawapendelei kuitumia kwasababu mara nyingi per capital income haionyeshi kipimo sahihi cha uchumi, kigezo kingine kinachotumika kama kipimo cha uchumi ni exchange rate ya dollar; kwani tunaposema Kenya uchumi wao upo juu ni kwasababu wao shilling yao bado haijaporomoka lakini kwa ugumu na ukali wa maisha watanzania tuna nafuu ukilinganisha wa kenya, hivi sasa dollar 1 inanuliliwa kwa Z kwacha 5120 hiyo pekee inakuonyesha uchumi wao upo kwenye hali gani ukilinganisha na wetu

Chama
Gongo la mboto DSM
Chama,
Lukosi kakuambia mfano wa Zambia Ni anguko la Ccm Kama vile Egypt na Tunisia , wewe umekazania uchumi, mfano wa uchumi Ni china katika speech yake
 
Kimsingi uchumi wetu upo juu zaidi labda ukiwatumia wachumi kama Lukosi hapo utadai uchumi za Zambia ni bora, najua unataka kugusia per capital income lakini elewa wachumi wengi hawapendelei kuitumia kwasababu mara nyingi per capital income haionyeshi kipimo sahihi cha uchumi, kigezo kingine kinachotumika kama kipimo cha uchumi ni exchange rate ya dollar; kwani tunaposema Kenya uchumi wao upo juu ni kwasababu wao shilling yao bado haijaporomoka lakini kwa ugumu na ukali wa maisha watanzania tuna nafuu ukilinganisha wa kenya, hivi sasa dollar 1 inanuliliwa kwa Z kwacha 5120 hiyo pekee inakuonyesha uchumi wao upo kwenye hali gani ukilinganisha na wetu

Chama
Gongo la mboto DSM
Chama,
Nnilipozungumzia Zambia ulikuwa mfano wa jinsi CCM iatakavyosahaulika kama vile UNIP ya Zambia.
Tukija kwenye masuala ya uchumi naomba usome hii sehemu ya hotuba yangu badala ya kung'ang'ania Zambia.

Wachina walikuwa masikini sana miaka ya nyuma, na viwanda vingi vya wamarekani na nchi nyingine tajiri vilijengwa china kwa sababu ya cheap labour.
Wachina waliamua kutumia wasomi wao na watu wenye ujuzi kujifunza maarifa wanayotumia wamarekani na mataifa tajiri. Baada ya hawa watu kuyapata maarifa waliamua kuanza kujenga viwanda vyao wenyewe nma kutengeneza malighafi kama zile za wamarekani kwa bei nafuu, hii iliwasaidia kumaliza masoko yote nchi za africa na asia.
Uchumi wa china umekua kwa maarifa, sasa kwa nini na sisi uchumi wetu usikue kwa maarifa.

Unasema kilimo kwanza halafu unanunua jembe la disc plough ulaya wakati hili jembe linaweza kutengenezwa pale ZZK au UFI? Disc plough inaweza kutengenezwa na fundi welder wa kawaida kabisa kama akipewa mafunzo madogo tu.

Unasema kilimo kwanza wakati pamba inayolimwa mwanza inapelekwa China kutengeneza nguo halafu hizo nguo zinarudishwa tanzania kuuzwa. kwa nini usiwachukue wasomi wakasomee mambo ya viwanda vya nguo China warudi nyumbani wakatengeneze hizo nguo pale Mwatex?

Viwanda tunavyo
Wasomi tunao
Malighafi tunazo
Mengine mtamalizia wenyewe

Ukiishamaliza kusoma hapo juu ndio tuanze kuongea kuhusu uchumi.
Usitegemee sana mambo ya data za mtandaoni, tuangalie reality.
 
Cha pele kikali kamanda piga bati la peshawar linatosha!

Chama
Gongo la mboto DSM

ha haa ha, Mkuu chama naona unamshauri kamanda apige cha kwa Sadari, tatizo lao wanaburuza na foil.
 
Last edited by a moderator:
ha haa ha, Mkuu chama naona unamshauri kamanda apige cha kwa Sadari, tatizo lao wanaburuza na foil.

Ritz tatizo lako wewe ni ushabiki badala ya hoja.
Ritz kama chama chako mmeishiwa hoja badala yake mnaongelea mambo yasiyo ya msingi
 
Chama,
Nnilipozungumzia Zambia ulikuwa mfano wa jinsi CCM iatakavyosahaulika kama vile UNIP ya Zambia.
Tukija kwenye masuala ya uchumi naomba usome hii sehemu ya hotuba yangu badala ya kung'ang'ania Zambia.

Wachina walikuwa masikini sana miaka ya nyuma, na viwanda vingi vya wamarekani na nchi nyingine tajiri vilijengwa china kwa sababu ya cheap labour.
Wachina waliamua kutumia wasomi wao na watu wenye ujuzi kujifunza maarifa wanayotumia wamarekani na mataifa tajiri. Baada ya hawa watu kuyapata maarifa waliamua kuanza kujenga viwanda vyao wenyewe nma kutengeneza malighafi kama zile za wamarekani kwa bei nafuu, hii iliwasaidia kumaliza masoko yote nchi za africa na asia.
Uchumi wa china umekua kwa maarifa, sasa kwa nini na sisi uchumi wetu usikue kwa maarifa.

Unasema kilimo kwanza halafu unanunua jembe la disc plough ulaya wakati hili jembe linaweza kutengenezwa pale ZZK au UFI? Disc plough inaweza kutengenezwa na fundi welder wa kawaida kabisa kama akipewa mafunzo madogo tu.

Unasema kilimo kwanza wakati pamba inayolimwa mwanza inapelekwa China kutengeneza nguo halafu hizo nguo zinarudishwa tanzania kuuzwa. kwa nini usiwachukue wasomi wakasomee mambo ya viwanda vya nguo China warudi nyumbani wakatengeneze hizo nguo pale Mwatex?

Viwanda tunavyo
Wasomi tunao
Malighafi tunazo
Mengine mtamalizia wenyewe

Ukiishamaliza kusoma hapo juu ndio tuanze kuongea kuhusu uchumi.
Usitegemee sana mambo ya data za mtandaoni, tuangalie reality.

Mkuu Kamanda Lukosi;
Unapoaandika unakuwa upo pub unakula tusker baridi? Nadhani hujui au huelewi kiini cha mapinduzi ya uchumi ya China na kwasababu umekataa data labda nikutumie kitabu uone; umenichekesha sana unaposema China miaka ya nyuma ilikuwa masikini sana ninachokuambia huo mwaka China waliokuwa masikini sana babu alikuyezalia babu yako alikuwa hajazaliwa; uchumi wa China ni wa pili kwa ukubwa duniani soma ili ujue inachukua miongo mingapi kuwa na uchumi wenye magnet kama China.
Turudi kwenye nchi yetu Tanzania
Ili nisikuchanganye nitatumia pamba na zana za kilimo
Unakumbuka Tanzania tulikuwa viwanda vya na zana za kilimo; viwanda hivi vilikuwa na vinamilikiwa na serikali; kufa kwa viwanda hivi ilikuwa ni matokeo ya sera ya WB na IMF, vyombo hivi viwili vilianzisha mpngo wa uchumi kuzisaidi nchi masikini duniani kujikwamua kiuchumi mpango huo ulikuwa maarufu kwa jina la SAPs Structural Adjustment Programmes; moja ya mashinikizo ya WB na IMF ni serikali husika kuuza viwanda kwa wawekezaji; kwa maana nyingine serikali zisijiingize kwenye shughuli za kiuchumi wao kazi yao iwe ni kupanga sheria na sera za uchumi; wachumi wa WB/IMF walitegemea nchi masikini zingepunguza madeni yake matokeo yake nchi masikini zilijikuta madeni yake yakiongeza zaidi ya maradufu mpango mzima ulifeli; kwa hiyo suala la viwanda kuanguka Tanzania hautokani na CCM wala serikali ni sera za WB,IMF na nchi wafadhili; kama unakumbuka viwanda vingi vilitolewa wakati wa Alhaj Mwinyi na mh. Mkapa hayo yote yalikuwa ni mashinikizo hupewi mikopo na IMF/WB na wafadhili walitisitisha misaada mpaka ukubaliane na masharti ya vyombo hivyo viwili.
Turudi kwenye uzalishaji;
Moja ya sababu kubwa IMF/WB walishinikiza viwanda vingine vifungwe au viuzwe ni kutokana na COMPARATIVE ADVANTAGE unaweza kuwa na malighafi lakini bado ikawa kwako ni gharama kubwa kuliko kununua bidhaa kamili; mfano mzuri ni UFI ilikuwa inajiendesha kwa ruzuku ya serikali ilikuwa inapata hasara miaka yote na kwasababu umekuwa ni muoga wa kutumia data itakuwa sana kuelewa hili huwezi kuwa mchumi kama hutumii data; mapinduzi ya uchumi kwa nchi za sub Sahara Afrika yatokana na kilimo tu na hakuna nchi yoyote duniani iliyofanya mapinduzi ya uchumi bila kufanya mapinduzi ya kilimo.

Chama
Gongo la mboto DSM
 
ha haa ha, Mkuu chama naona unamshauri kamanda apige cha kwa Sadari, tatizo lao wanaburuza na foil.

Mkuu Ritz,
jamaa mshauri aachane na kitu cheupe; jivu la sadari linatosha, jamaa kuna wakati channel zinamiss hujui anaandika kitu gani.

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Mkuu Kamanda Lukosi;
Unapoaandika unakuwa upo pub unakula tusker baridi? Nadhani hujui au huelewi kiini cha mapinduzi ya uchumi ya China na kwasababu umekataa data labda nikutumie kitabu uone; umenichekesha sana unaposema China miaka ya nyuma ilikuwa masikini sana ninachokuambia huo mwaka China waliokuwa masikini sana babu alikuyezalia babu yako alikuwa hajazaliwa; uchumi wa China ni wa pili kwa ukubwa duniani soma ili ujue inachukua miongo mingapi kuwa na uchumi wenye magnet kama China.
Turudi kwenye nchi yetu Tanzania
Ili nisikuchanganye nitatumia pamba na zana za kilimo
Unakumbuka Tanzania tulikuwa viwanda vya na zana za kilimo; viwanda hivi vilikuwa na vinamilikiwa na serikali; kufa kwa viwanda hivi ilikuwa ni matokeo ya sera ya WB na IMF, vyombo hivi viwili vilianzisha mpngo wa uchumi kuzisaidi nchi masikini duniani kujikwamua kiuchumi mpango huo ulikuwa maarufu kwa jina la SAPs Structural Adjustment Programmes; moja ya mashinikizo ya WB na IMF ni serikali husika kuuza viwanda kwa wawekezaji; kwa maana nyingine serikali zisijiingize kwenye shughuli za kiuchumi wao kazi yao iwe ni kupanga sheria na sera za uchumi; wachumi wa WB/IMF walitegemea nchi masikini zingepunguza madeni yake matokeo yake nchi masikini zilijikuta madeni yake yakiongeza zaidi ya maradufu mpango mzima ulifeli; kwa hiyo suala la viwanda kuanguka Tanzania hautokani na CCM wala serikali ni sera za WB,IMF na nchi wafadhili; kama unakumbuka viwanda vingi vilitolewa wakati wa Alhaj Mwinyi na mh. Mkapa hayo yote yalikuwa ni mashinikizo hupewi mikopo na IMF/WB na wafadhili walitisitisha misaada mpaka ukubaliane na masharti ya vyombo hivyo viwili.
Turudi kwenye uzalishaji;
Moja ya sababu kubwa IMF/WB walishinikiza viwanda vingine vifungwe au viuzwe ni kutokana na COMPARATIVE ADVANTAGE unaweza kuwa na malighafi lakini bado ikawa kwako ni gharama kubwa kuliko kununua bidhaa kamili; mfano mzuri ni UFI ilikuwa inajiendesha kwa ruzuku ya serikali ilikuwa inapata hasara miaka yote na kwasababu umekuwa ni muoga wa kutumia data itakuwa sana kuelewa hili huwezi kuwa mchumi kama hutumii data; mapinduzi ya uchumi kwa nchi za sub Sahara Afrika yatokana na kilimo tu na hakuna nchi yoyote duniani iliyofanya mapinduzi ya uchumi bila kufanya mapinduzi ya kilimo.

Chama
Gongo la mboto DSM
Hebu niambie Botswana wanalima nini?
 
Kwa midata hiyo ambayo mwananchi haoni mabadiliko lakini unasema uchumi umekua sahau kura kutoka kwa watu Kama hao

Hata Chama anaongelea mambo ya data? Kweli kabla hujafwa hujaumbika, camooon chama, can you really survive in the heat of reason and statistical data? It is good to see the light though!
 
Hata Chama anaongelea mambo ya data? Kweli kabla hujafwa hujaumbika, camooon chama, can you really survive in the heat of reason and statistical data? It is good to see the light though!
Jamaa anaandika tu bora ameandika.
Hii ndio tatizo la kunywea pombe juani, zinapanda haraka sana
 
Kwamba IMF/WB ndio sababu ya kufa kwa viwanda vyetu. Hivyo viwanda vilikuwa vinaendeshwa na IMF au WB? Nashindwa kustaajabu

Si kwamba IFM/WB walikuwa wanaendesha viwanda hivyo...
Taasisi hizo zilileta Sera ambazo ilikua lazima zitekelezwe ili kuendelea kupata mikopo.

sera hizo ni pamoja na ubinafsishaji na kuwepo kwa vyama vingi ..
 
Back
Top Bottom