Uhuru, Haki na Maendeleo ya Watu huleta Amani na Furaha
Kwa sababu katiba ndiyo msingi wa kila kitu, mtawala akikuta katiba inamuongoza katika haki basi watu watakuwa na furaha na hata wakilia watakuwa wanalia kwa machozi ya furaha.
Kama hujaelewa hilo la Uhuru na Haki basi jiongoze kwa kumsikiliza Bishop Mpemba
Source : Bishop Augustine Mpemba
Kwa sababu katiba ndiyo msingi wa kila kitu, mtawala akikuta katiba inamuongoza katika haki basi watu watakuwa na furaha na hata wakilia watakuwa wanalia kwa machozi ya furaha.
Kama hujaelewa hilo la Uhuru na Haki basi jiongoze kwa kumsikiliza Bishop Mpemba
Source : Bishop Augustine Mpemba