Uchaguzi 2020 Kwanini Tundu Lissu anatumia muda mwingi kutafsiri Katiba na Sheria badala ya kutangaza sera?

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,560
141,377
Nijuavyo mikutano ya kampeni ni kwa ajili ya kutangaza sera na ilani za vyama lakini nashangazwa na Tundu Lissu ambaye hutumia muda mwingi kutafsiri sheria na katiba ya nchi.

Mfano katika mkutano wa leo ametumia muda mwingi kuelezea utaratibu wa kumshtaki mtu na jinsi ya kumuita shaurini.
Akatolea mfano wa yeye kuitwa na NEC kienyeji.

Tundu Lissu elewa kwamba watanzania hawahitaji darasa la sheria bali uwaeleze utawafanyia nini wakikuchagua.

Maendeleo hayana vyama!
 
Leo akiwa Mkoa wa Kilimanjaro, Lissu kaahidi kuhakikisha anairejesha Tanzania enzi za ukoloni. Nimemsikia na kumona akiongea hayo mwenyewe kupitia televisheni ya ITV, muda mchache uliopita. Hivi maisha ya ukoloni yalikuwa bora kuliko yale baada ya uhuru?

Yaani Lissu kwa uongo hajambo, anaongeza kuwa Wakati wa ukoloni mamlaka yalikuwa kwa wananchi! Mambo ya ajabu sana haya...! Na mwenyekiti wake wa Chama anaogopa 'kumfunga' Lissu kengele.
 
Nijuavyo mikutano ya kampeni ni kwa ajili ya kutangaza sera na ilani za vyama lakini nashangazwa na Tundu Lissu ambaye hutumia muda mwingi kutafsiri sheria na katiba ya nchi.

Mfano katika mkutano wa leo ametumia muda mwingi kuelezea utaratibu wa kumshtaki mtu na jinsi ya kumuita shaurini.
Akatolea mfano wa yeye kuitwa na NEC kienyeji.

Tundu Lissu elewa kwamba watanzania hawahitaji darasa la sheria bali uwaeleze utawafanyia nini wakikuchagua.

Maendeleo hayana vyama!
Naskia kuna mtu huko hali tete,anadungwa sindano kabla ya kupanda jukwaani😀
 
Leo akiwa Mkoa wa Kilimanjaro, Lissu kaahidi kuhakikisha anairejesha Tanzania enzi za ukoloni. Nimemsikia na kumona akiongea hayo mwenyewe kupitia televisheni ya ITV, muda mchache uliopita. Hivi maisha ya ukoloni yalikuwa bora kuliko yale baada ya uhuru?

Yaani Lissu kwa uongo hajambo, anaongeza kuwa Wakati wa ukoloni mamlaka yalikuwa kwa wananchi! Mambo ya ajabu sana haya...! Na mwenyekiti wake wa Chama anaogopa 'kumfunga' Lissu kengele.
Umefika darasa la ngapi au ndio wale wasomi wetu wanaosoma kwa kukariri
 
Nijuavyo mikutano ya kampeni ni kwa ajili ya kutangaza sera na ilani za vyama lakini nashangazwa na Tundu Lissu ambaye hutumia muda mwingi kutafsiri sheria na katiba ya nchi.

Mfano katika mkutano wa leo ametumia muda mwingi kuelezea utaratibu wa kumshtaki mtu na jinsi ya kumuita shaurini.
Akatolea mfano wa yeye kuitwa na NEC kienyeji.

Tundu Lissu elewa kwamba watanzania hawahitaji darasa la sheria bali uwaeleze utawafanyia nini wakikuchagua.

Maendeleo hayana vyama!
Uko tayari kubeba wazungu begani na Lissu wake kama enzi za ukoloni ?
Kuwabeba kivipi embu fafanua?
 
Leo akiwa Mkoa wa Kilimanjaro, Lissu kaahidi kuhakikisha anairejesha Tanzania enzi za ukoloni. Nimemsikia na kumona akiongea hayo mwenyewe kupitia televisheni ya ITV, muda mchache uliopita. Hivi maisha ya ukoloni yalikuwa bora kuliko yale baada ya uhuru?

Yaani Lissu kwa uongo hajambo, anaongeza kuwa Wakati wa ukoloni mamlaka yalikuwa kwa wananchi! Mambo ya ajabu sana haya...! Na mwenyekiti wake wa Chama anaogopa 'kumfunga' Lissu kengele.
Umemwelewa amezunguzia hilo kwa kwa kulenga kitu gani na kwa muktadha upi?

Kwa taarifa yako tu mambo mengi ya kimfumo nchini bado yanafuata mfumo walioacha wakoloni.
 
Nijuavyo mikutano ya kampeni ni kwa ajili ya kutangaza sera na ilani za vyama lakini nashangazwa na Tundu Lissu ambaye hutumia muda mwingi kutafsiri sheria na katiba ya nchi.

Mfano katika mkutano wa leo ametumia muda mwingi kuelezea utaratibu wa kumshtaki mtu na jinsi ya kumuita shaurini.
Akatolea mfano wa yeye kuitwa na NEC kienyeji.

Tundu Lissu elewa kwamba watanzania hawahitaji darasa la sheria bali uwaeleze utawafanyia nini wakikuchagua.

Maendeleo hayana vyama!
Anajitahidi sana kuto elimu kwako na ndugu zako makada wa ccm, Kama vile mkurugenzi wa NEC Asiye jitambua hadi kufikia hatua ya kujionyesha yeye ni kada mtiifu wa CCM.

VIVA TUNDU LISSU Munyampaa.
 
Leo akiwa Mkoa wa Kilimanjaro, Lissu kaahidi kuhakikisha anairejesha Tanzania enzi za ukoloni. Nimemsikia na kumona akiongea hayo mwenyewe kupitia televisheni ya ITV, muda mchache uliopita. Hivi maisha ya ukoloni yalikuwa bora kuliko yale baada ya uhuru?

Yaani Lissu kwa uongo hajambo, anaongeza kuwa Wakati wa ukoloni mamlaka yalikuwa kwa wananchi! Mambo ya ajabu sana haya...! Na mwenyekiti wake wa Chama anaogopa 'kumfunga' Lissu kengele.
Ukiwa kilaza huwezi kumuelewa Lissu. Lissu amesema atarudisha mfumo kama ulivyokuwa kipindi cha ukoloni kwamba wananchi ndo wanajiamulia miradi yao ya kuifanya iwe maji, barabara au elimu! Sio kama sasaivi kila mwananchi ni ombaomba kwa Raisi sijui Raisi tujengee shule, tujengee hospitali, tujengee soko.

Ametolea mfano chuo cha ushirika moshi ambacho kilijengwa kwa maamuzi ya wananchi kupitia chama chao cha kncu kipindi cha mkoloni!!

CCM mmejaa vilaza tu ndo mana hamuelewi hoja za Lissu mnaishia kupotosha tu.
 
Umemwelewa amezunguzia hilo kwa kwa kulenga kitu gani na kwa muktadha upi?
Yaani Leo katoa Pasi ya ovyo kabisa katika harakati zake za kujijenga kimaslahi. Sijui kama mnaona ninachokiona kwa Lissu. Au ndiyo mmeamua kuvaa miwani ya 'mabao'? Ebu vueni miwani hiyo!
 
Nijuavyo mikutano ya kampeni ni kwa ajili ya kutangaza sera na ilani za vyama lakini nashangazwa na Tundu Lissu ambaye hutumia muda mwingi kutafsiri sheria na katiba ya nchi.

Mfano katika mkutano wa leo ametumia muda mwingi kuelezea utaratibu wa kumshtaki mtu na jinsi ya kumuita shaurini.
Akatolea mfano wa yeye kuitwa na NEC kienyeji.

Tundu Lissu elewa kwamba watanzania hawahitaji darasa la sheria bali uwaeleze utawafanyia nini wakikuchagua.

Maendeleo hayana vyama!
Ni lazima Lissu atoe elimu kwa watanzania ili wajue taratibu na haki zao. Hili ni kwa sababu CCM mmekuwa mkiwanyanyasa wananchi kwa sababu hawajui sheria, taratibu na haki zao
 
Wapiga magoti na waosha masufuria wamekosa kibali cha wananchi,wanachofanya sasa hivi ni kulaghai wananchi kwa kuosha masufuria
JamiiForums312469786.jpg
JamiiForums472601843.jpg
 
Nijuavyo mikutano ya kampeni ni kwa ajili ya kutangaza sera na ilani za vyama lakini nashangazwa na Tundu Lissu ambaye hutumia muda mwingi kutafsiri sheria na katiba ya nchi.

Mfano katika mkutano wa leo ametumia muda mwingi kuelezea utaratibu wa kumshtaki mtu na jinsi ya kumuita shaurini.
Akatolea mfano wa yeye kuitwa na NEC kienyeji.

Tundu Lissu elewa kwamba watanzania hawahitaji darasa la sheria bali uwaeleze utawafanyia nini wakikuchagua.

Maendeleo hayana vyama!
Ni sawa maana kuna mambo yanapotoshwa yakinyamaziwa yanakuwa ukweli.Ila nashauri asiyape kipaumbele sana.atumie muda wake vizuri.
 
Nijuavyo mikutano ya kampeni ni kwa ajili ya kutangaza sera na ilani za vyama lakini nashangazwa na Tundu Lissu ambaye hutumia muda mwingi kutafsiri sheria na katiba ya nchi.

Mfano katika mkutano wa leo ametumia muda mwingi kuelezea utaratibu wa kumshtaki mtu na jinsi ya kumuita shaurini.
Akatolea mfano wa yeye kuitwa na NEC kienyeji.

Tundu Lissu elewa kwamba watanzania hawahitaji darasa la sheria bali uwaeleze utawafanyia nini wakikuchagua.

Maendeleo hayana vyama!

Wakati mwingine uwe unatumia kidogo hata akili ya kawaida, mikutano ya Lisu hairushwi live usikie vyote asemavyo, bali ww unaangalia vipande vifupi kwenye taarifa za habari ambazo waleta habari huchukua vipande kidogo watakavyo, kisha ndio unakuja hapa kusema kuwa anatumia muda mrefu kueleza jambo fulani! Mwambie Magufuli aache kutishia vyombo vya habari kutangaza habari za Lisu kisha uje utoe mrejesho.

Kabla ya Magufuli kuwa rais na kujigeuza Mungu mtu kwa kutishia raia, wakati wa uchaguzi kulikuwa na midahalo na Chambuzi huru kwenye media. Ila sasa hivi kajigeuza yeye ndio nchi, anatangazwa yeye tu, na media yoyote ikimtangaza mshindani wake wa kweli inatafutiwa kosa inafungiwa. Ww ni muhanga wa huu udictator kisha unakuja kulialia hapa.
 
Nchi haina katiba nzuri

Iliyopo tu mbovu Haifatwi
Maamuzi yote kwa john
Lazima aizungumze popote


Alafu anakuja mtu Anasema maendeleo hayana Chama
Foolish
 
Back
Top Bottom