The Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 11,100
- 13,698
Zamani, akichaguliwa au kuteuliwa mtu, lazima historia na maisha yake vijulikane, familia, elimu, maadili, umri nk
Siku hizi, wanachomolewa watu wasiojulokana na kusikojulikana na kuteuliwa na kuendelea kukaa kwenye ofisi zetu.
Mfano, nani anajua historia ya Waziri wetu wa fedha wa sasa?
Tunaficha nini kama si ukilaza, jinai, kujuana, na mengine kama haya?
Siku hizi, wanachomolewa watu wasiojulokana na kusikojulikana na kuteuliwa na kuendelea kukaa kwenye ofisi zetu.
Mfano, nani anajua historia ya Waziri wetu wa fedha wa sasa?
Tunaficha nini kama si ukilaza, jinai, kujuana, na mengine kama haya?