Nyanda Banka
JF-Expert Member
- Mar 14, 2023
- 330
- 1,244
Tupo kwenye mfumo wa maisha ambao ili upate kitu nilazima usifu, jambo linalopoteza dira na muelekeo ya maisha yetu
Tupo kwasasa kwenye dunia inayofahamika kwa uchawa, vijana mpaka wazee wanaonekana kama chawa kutokana na kusifu kila jambo hata kama halina manufaa kwa lengo la kupata chochote
Tupo kwenye dunia ya ubinafsi na ukabila kwamba watu fulani na kabila Fulani ndiyo wanastahili kupata kitu ama vitu fulani huku wengine tukionekana walala hoi
Sikatai wala kupinga kusifu ila tusifu panapostahili ili tuepuke kuonekana CHAWA
Beautiful Country
Tupo kwasasa kwenye dunia inayofahamika kwa uchawa, vijana mpaka wazee wanaonekana kama chawa kutokana na kusifu kila jambo hata kama halina manufaa kwa lengo la kupata chochote
Tupo kwenye dunia ya ubinafsi na ukabila kwamba watu fulani na kabila Fulani ndiyo wanastahili kupata kitu ama vitu fulani huku wengine tukionekana walala hoi
Sikatai wala kupinga kusifu ila tusifu panapostahili ili tuepuke kuonekana CHAWA
Beautiful Country