Michelle
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,621
- 3,514
- Thread starter
- #21
Michelle
Matatizo yote hayo ni sababu ya uwepo wa shetani.
Shetani ataendelea kumjaribu mwanadamu kila siku, peponi ndipo ambapo hakuna majaribu, tutaishi kwa raha na mustarehe, hakuna kufa wala kuzeeka. Twaingojea Paradiso
CPU
kwahiyo unafikiri tuvumilie tu,tukisubiri paradiso? wewe ukipata mwanamke anakupiga na kukuletea wanaume ndani,utakaa ukisema unasubiri paradiso,duniani shetani ataendelea kumjaribu mwanadamu tu???? kweli?