Kwanini tunakufa?

sijasema sayansi inapanda kwa kasi sana. Ila nimesema kuna uwezekano hapo mbeleni teknolojia ikaweza kuhuwisha kiumbe kilichokufa. pia sijasema kwamba lazima sisi kama binadamu tutafikia teknolojia hiyo ila nimesema kuna "uwezekano".
 
Lazima ufe ili wengine waendelee kuishi.mfano katoto kako kale
 
Chenye mwanzo kina Mwisho , uishi mpaka lini? Inabidi uache nafasi kwa mwingine. Labda maisha baada ya kifo kama ni kweli.
 
wewe umejuaje kwamba kila mtu ana kusudi maalumu?
Hilo kusudi maalumu unapewa na nani?
na kila mtu kusudi lake anaelekezwa vipi na huyo mgawa kusudi?
kwa mfano wewe kusudi lako ni nini?
Kwanza unaamini katika uwepo wa Mungu ?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…