Kwanini tunaibeba DP World kiasi hiki?

Kwani pana kiingereza kigumu basi hata sisi Kayumba tunakielewa sema walipewa Lupia hakuna mtu mwenye akili Timamu atakubali yale madudu aisee..ni vile wanaangalia leo kwa kupata wao sio Nchi inufaike kwa vizazi vijavyo ndio maana Nchi bado tunatafuta sare kwenye umasikini kwa sababu ya mikataba mingi ni kwa faida ya baadhi ya familia sio Watanzania wote.
UTANGULIZI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, iliyowakilishwa ipasavyo na Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi ("Tanzania") na FEMIRATA YA DUBAI, ikiwakilishwa ipasavyo na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Shirika la Bandari, Forodha na Ukanda Huru ("Dubai");

(Tanzania na Dubai baadaye zinajulikana kama "Wanachama wa Jimbo" (kila moja kama "Chama cha Jimbo"):

(A) KWA KUZINGATIA ziara ya Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Umoja wa Falme za Kiarabu, Dubai Expo 2020 na kikao alichofanya na Mtawala wa Dubai Februari 2022 kuhusu fursa za uwekezaji nchini Tanzania;

(B) KUZINGATIA Mkataba wa Makubaliano (MoU) kati ya Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) na DP World (DPW) uliosainiwa katika ziara ya Mh. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye Maonesho ya Dubai 2020 tarehe 28 Februari, 2022;

(C) KWA KUZINGATIA matakwa yaliyotolewa katika Makubaliano kuhusu maeneo ya ushirikiano kati ya TPA na DPW kwa ajili ya kuendeleza na/au uboreshaji wa uendeshaji na usimamizi wa miundombinu ya kimkakati ya bandari za Bandari ya Tanzania bahari na ziwa, kanda maalum za kiuchumi, hifadhi za usafirishaji na biashara. korido za Serikali ya Tanzania;

(D) KWA KUTAMBUA nia ya Serikali ya Tanzania ya kuhimiza uwekezaji ili kuendeleza na kuboresha utendaji na ufanisi wa bandari za bahari na maziwa ili kuendana na dira ya Serikali na mwenendo wa kimataifa wa huduma za usafiri wa baharini;

P.S.M
20230717_151406.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
MKATABA WA SERIKALI

KATI YA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

NA

EMIRATE YA DUBAI

KUHUSU

USHIRIKIANO WA KIUCHUMI NA KIJAMII KWA MAENDELEO NA KUBORESHA UTENDAJI WA BANDARI ZA BAHARI NA ZIWA TANZANIA.

Oktoba, 2022

P.S.M
20230717_151007.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
UTANGULIZI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, iliyowakilishwa ipasavyo na Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi ("Tanzania") na FEMIRATA YA DUBAI, ikiwakilishwa ipasavyo na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Shirika la Bandari, Forodha na Ukanda Huru ("Dubai");



Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu sitamani kuendelea kusoma hayo madudu wacha niendelee na mambo mengine tu...
 
Ccm wameamua kupanda majukwaani kuutetea kwa nguvu zote, halafu utasikia wanaandaa maandamano kuunga mkono. Waandamanaji mazuzu wataandamana huku hawajalamba hata senti moja, shame on them. Mi kama mwanachama wao kindakindaki hawatanipata kwenye maandamano ya kuunga mkono mkataba huo wa kizuzu kuwahi kutokea duniani
 
Ccm wameamua kupanda majukwaani kuutetea kwa nguvu zote, halafu utasikia wanaandaa maandamano kuunga mkono. Waandamanaji mazuzu wataandamana huku hawajalamba hata senti moja, shame on them. Mi kama mwanachama wao kindakindaki hawatanipata kwenye maandamano ya kuunga mkono mkataba huo wa kizuzu kuwahi kutokea duniani
Mi kama mwanachama wao kindakindaki hawatanipata kwenye maandamano ya kuunga mkono mkataba huo wa kizuzu kuwahi kutokea duniani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama ni kafara la kukimbiza moto basi limetubamba kisawasawa...Na kama ni dozi ya upumbavu aliyetunywesha katu overdose kasoro wachache mno...!

Kwa makosa makubwa na ya wazi kiasi kile kwenye ule mkataba wa DPW na Tanzania kama sisi ndio tunataka kuwekeza kwao wallah nakwambieni ungechanwa mapema asubuhi tena kwa matusi na kejeli za kila aina!


Sent using Jamii Forums mobile app
du!!!
 
Kama ni kafara la kukimbiza moto basi limetubamba kisawasawa...Na kama ni dozi ya upumbavu aliyetunywesha katu overdose kasoro wachache mno...!

Kwa makosa makubwa na ya wazi kiasi kile kwenye ule mkataba wa DPW na Tanzania kama sisi ndio tunataka kuwekeza kwao wallah nakwambieni ungechanwa mapema asubuhi tena kwa matusi na kejeli za kila aina!

Sisi sote tu mashuhuda namna tunavyotendewa nje ya nchi kwa makosa madogo mno tena sometimes kwenye nyaraka tuu ambayo yanaweza kurekebishwa hapo hapo

Mali zetu nyingi zilizokamatwa nje ya nchi si kwamba zote zilikamatwa kihalali, nyingine ni makosa madogo tu ya kisheria
Fidia tulizolipa na tunazoendelea kulipa nje ya nchi baada ya kushindwa kesi, nyingine zinatokana na kukosa uzalendo tu wa wanasheria wetu na wahusika wetu na kushindwa kupigania na kuonesha shida ilipo

Kipindi kile cha corona ni wangapi wamesahau namna mamlaka za Dubai zilivyowanyanyasa na kuwadhalilisha wabongo ambao nyaraka zao za chanjo zilikuwa na makosa madogo mnoo.. Kuna baadhi walirudishwa airport na kupoteza muda na nauli zao

Magereza za Dubai zina watanzania kibao kwa kesi mbalimbali ambazo nyingine ni za kubambikiwa, kushukiwa na nyingine makosa madogo mno... Sisemi kutenda kosa hata liwe dogo ni halali la hasha bali kuna baadhi ya makosa yanahitaji kuelimishwa tuu

Wakenya wanaweza kuwa mashuhuda wazuri kwa mabinti zao wanaokwenda arabuni kufanya kazi mbalimbali hasa za ndani, yale wanayofanyiwa kule hakuna mwafrika anaweza thubutu kumfanyia mgeni
Kwahiyo linapokuja swala la nchi yao.. Wenzetu hawana utani hawana huruma na hawana chembe ya utu wala ubinadamu.. Wananyoosha rula..!

Sisi huku bongo ndio kwanza tunawasaidia wageni
Kuvunja sheria mbalimbali
Kuwatetea wanapoharibu
Kuiba
Kukwepa kodi
Kuwatendea ndugu zetu mabaya nknk..
Kwao wao hawana huu upuuzi hata nukta.. Sana sana utashirikiana naye ila akikupa kisogo unadakwa.. Kakuchomam, na ndio atakuwa shahidi wa kukuangamiza ukipandishwa kizimbani

Sasa hili bango la watanzania wenzetu kuutetea mkataba mbovu mbovu mbovu kiasi kile huu uthubutu wanaupata wapi? Na mbaya zaidi wakiongoza na CCM wenyewe.. Hii ni aibu ni fedheha na ni laana kwa taifa hili.. Huku ni kudhalilishwa kulikovuka mipaka yote!

Hakuna anayekataa uwekezaji, kinachokataliwa na wananchi wazalendo ni mkataba mbovu, wenye makosa yasiyorekebishika na usio na maslahi yoyote kwa taifa.. Kwani kuna shida gani mamlaka zikitamka kuukataa na kuufuta?
Kwani kuna shida gani kuanza upya?
Kwani kuna shida gani kuwatafuta wawekezaji wengine?
Kwani ni lazima huyu dp na si mwingine yoyote? Kwanini?

Yanayofanyika sirini yakiwekwa bayana matokeo huwa hasi! Mambo haya yalianza 2022 kwa siri, taifa halikushirikishwa tangu mwanzo.. Kila kitu kingekuwa bayana tangu awali kwa uwazi na kwa uzalendo wa taifa.. Tusingefika leo hapa tulipo

Natambua wazi nguvu ya pesa ilivyoshawishi maamuzi yote mpaka sasa japo hili litakanushwa kwa viwango vyote, lakini mwenye macho haambiwi tazama!
Natambua ubinafsi wa viongozi wengi wa ccm wanaotegemea kujikomba na kujipendekeza dpw itakapoanza kazi ili wapate chochote na kuwatafutia vibarua ndugu, jamaa, marafiki na michepuko yao.. Hapa ndio ukomo wao wa kufikiri unapoishia..!

Huu unaotutikisa mpaka sasa ni mmoja tu kati ya ile 37 iliyosainiwa huko...

Good morning TanganyikaView attachment 2690651

Sent using Jamii Forums mobile app
Billioni walizolipwa wanashindwa namna ya kuzirudisha.
Mzee wa msogizzzz kimyaaaa na yule mwingine wa asili ya sumalia kimyaa kuna jambo. Baba mdogo wa milimani hukoooo kimyaaaa…
Kuna jambo
Ukiona watu wanasogea kwa Maria ujue kuna jambo….
Deal imebumaaaa waachie tu
Tanganyika ni sasa
 
Kama ni kafara la kukimbiza moto basi limetubamba kisawasawa...Na kama ni dozi ya upumbavu aliyetunywesha katu overdose kasoro wachache mno...!

Kwa makosa makubwa na ya wazi kiasi kile kwenye ule mkataba wa DPW na Tanzania kama sisi ndio tunataka kuwekeza kwao wallah nakwambieni ungechanwa mapema asubuhi tena kwa matusi na kejeli za kila aina!

Sisi sote tu mashuhuda namna tunavyotendewa nje ya nchi kwa makosa madogo mno tena sometimes kwenye nyaraka tuu ambayo yanaweza kurekebishwa hapo hapo

Mali zetu nyingi zilizokamatwa nje ya nchi si kwamba zote zilikamatwa kihalali, nyingine ni makosa madogo tu ya kisheria
Fidia tulizolipa na tunazoendelea kulipa nje ya nchi baada ya kushindwa kesi, nyingine zinatokana na kukosa uzalendo tu wa wanasheria wetu na wahusika wetu na kushindwa kupigania na kuonesha shida ilipo

Kipindi kile cha corona ni wangapi wamesahau namna mamlaka za Dubai zilivyowanyanyasa na kuwadhalilisha wabongo ambao nyaraka zao za chanjo zilikuwa na makosa madogo mnoo.. Kuna baadhi walirudishwa airport na kupoteza muda na nauli zao

Magereza za Dubai zina watanzania kibao kwa kesi mbalimbali ambazo nyingine ni za kubambikiwa, kushukiwa na nyingine makosa madogo mno... Sisemi kutenda kosa hata liwe dogo ni halali la hasha bali kuna baadhi ya makosa yanahitaji kuelimishwa tuu

Wakenya wanaweza kuwa mashuhuda wazuri kwa mabinti zao wanaokwenda arabuni kufanya kazi mbalimbali hasa za ndani, yale wanayofanyiwa kule hakuna mwafrika anaweza thubutu kumfanyia mgeni
Kwahiyo linapokuja swala la nchi yao.. Wenzetu hawana utani hawana huruma na hawana chembe ya utu wala ubinadamu.. Wananyoosha rula..!

Sisi huku bongo ndio kwanza tunawasaidia wageni
Kuvunja sheria mbalimbali
Kuwatetea wanapoharibu
Kuiba
Kukwepa kodi
Kuwatendea ndugu zetu mabaya nknk..
Kwao wao hawana huu upuuzi hata nukta.. Sana sana utashirikiana naye ila akikupa kisogo unadakwa.. Kakuchomam, na ndio atakuwa shahidi wa kukuangamiza ukipandishwa kizimbani

Sasa hili bango la watanzania wenzetu kuutetea mkataba mbovu mbovu mbovu kiasi kile huu uthubutu wanaupata wapi? Na mbaya zaidi wakiongoza na CCM wenyewe.. Hii ni aibu ni fedheha na ni laana kwa taifa hili.. Huku ni kudhalilishwa kulikovuka mipaka yote!

Hakuna anayekataa uwekezaji, kinachokataliwa na wananchi wazalendo ni mkataba mbovu, wenye makosa yasiyorekebishika na usio na maslahi yoyote kwa taifa.. Kwani kuna shida gani mamlaka zikitamka kuukataa na kuufuta?
Kwani kuna shida gani kuanza upya?
Kwani kuna shida gani kuwatafuta wawekezaji wengine?
Kwani ni lazima huyu dp na si mwingine yoyote? Kwanini?

Yanayofanyika sirini yakiwekwa bayana matokeo huwa hasi! Mambo haya yalianza 2022 kwa siri, taifa halikushirikishwa tangu mwanzo.. Kila kitu kingekuwa bayana tangu awali kwa uwazi na kwa uzalendo wa taifa.. Tusingefika leo hapa tulipo

Natambua wazi nguvu ya pesa ilivyoshawishi maamuzi yote mpaka sasa japo hili litakanushwa kwa viwango vyote, lakini mwenye macho haambiwi tazama!
Natambua ubinafsi wa viongozi wengi wa ccm wanaotegemea kujikomba na kujipendekeza dpw itakapoanza kazi ili wapate chochote na kuwatafutia vibarua ndugu, jamaa, marafiki na michepuko yao.. Hapa ndio ukomo wao wa kufikiri unapoishia..!

Huu unaotutikisa mpaka sasa ni mmoja tu kati ya ile 37 iliyosainiwa huko...

Good morning TanganyikaView attachment 2690651

Sent using Jamii Forums mobile app
Inauma sana kuona kuwa wabaya wa kwanza wa nchi yetu ni watawala wetu wenyewe na chawa wao - inauma asilani! Tusumbuliwe na kushindana na wa nje, hata watu wetu wa ndani nao watusumbue na kushindana nao??!!

Hivi kwanini tunatesana, tunalitesa taifa na kuvitesa vizazi vijavyo kwa kuukubali utumwa wa kifikra na wa kiuchumi??!!
 
Kama ni kafara la kukimbiza moto basi limetubamba kisawasawa...Na kama ni dozi ya upumbavu aliyetunywesha katu overdose kasoro wachache mno...!

Kwa makosa makubwa na ya wazi kiasi kile kwenye ule mkataba wa DPW na Tanzania kama sisi ndio tunataka kuwekeza kwao wallah nakwambieni ungechanwa mapema asubuhi tena kwa matusi na kejeli za kila aina!

Sisi sote tu mashuhuda namna tunavyotendewa nje ya nchi kwa makosa madogo mno tena sometimes kwenye nyaraka tuu ambayo yanaweza kurekebishwa hapo hapo

Mali zetu nyingi zilizokamatwa nje ya nchi si kwamba zote zilikamatwa kihalali, nyingine ni makosa madogo tu ya kisheria
Fidia tulizolipa na tunazoendelea kulipa nje ya nchi baada ya kushindwa kesi, nyingine zinatokana na kukosa uzalendo tu wa wanasheria wetu na wahusika wetu na kushindwa kupigania na kuonesha shida ilipo

Kipindi kile cha corona ni wangapi wamesahau namna mamlaka za Dubai zilivyowanyanyasa na kuwadhalilisha wabongo ambao nyaraka zao za chanjo zilikuwa na makosa madogo mnoo.. Kuna baadhi walirudishwa airport na kupoteza muda na nauli zao

Magereza za Dubai zina watanzania kibao kwa kesi mbalimbali ambazo nyingine ni za kubambikiwa, kushukiwa na nyingine makosa madogo mno... Sisemi kutenda kosa hata liwe dogo ni halali la hasha bali kuna baadhi ya makosa yanahitaji kuelimishwa tuu

Wakenya wanaweza kuwa mashuhuda wazuri kwa mabinti zao wanaokwenda arabuni kufanya kazi mbalimbali hasa za ndani, yale wanayofanyiwa kule hakuna mwafrika anaweza thubutu kumfanyia mgeni
Kwahiyo linapokuja swala la nchi yao.. Wenzetu hawana utani hawana huruma na hawana chembe ya utu wala ubinadamu.. Wananyoosha rula..!

Sisi huku bongo ndio kwanza tunawasaidia wageni
Kuvunja sheria mbalimbali
Kuwatetea wanapoharibu
Kuiba
Kukwepa kodi
Kuwatendea ndugu zetu mabaya nknk..
Kwao wao hawana huu upuuzi hata nukta.. Sana sana utashirikiana naye ila akikupa kisogo unadakwa.. Kakuchomam, na ndio atakuwa shahidi wa kukuangamiza ukipandishwa kizimbani

Sasa hili bango la watanzania wenzetu kuutetea mkataba mbovu mbovu mbovu kiasi kile huu uthubutu wanaupata wapi? Na mbaya zaidi wakiongoza na CCM wenyewe.. Hii ni aibu ni fedheha na ni laana kwa taifa hili.. Huku ni kudhalilishwa kulikovuka mipaka yote!

Hakuna anayekataa uwekezaji, kinachokataliwa na wananchi wazalendo ni mkataba mbovu, wenye makosa yasiyorekebishika na usio na maslahi yoyote kwa taifa.. Kwani kuna shida gani mamlaka zikitamka kuukataa na kuufuta?
Kwani kuna shida gani kuanza upya?
Kwani kuna shida gani kuwatafuta wawekezaji wengine?
Kwani ni lazima huyu dp na si mwingine yoyote? Kwanini?

Yanayofanyika sirini yakiwekwa bayana matokeo huwa hasi! Mambo haya yalianza 2022 kwa siri, taifa halikushirikishwa tangu mwanzo.. Kila kitu kingekuwa bayana tangu awali kwa uwazi na kwa uzalendo wa taifa.. Tusingefika leo hapa tulipo

Natambua wazi nguvu ya pesa ilivyoshawishi maamuzi yote mpaka sasa japo hili litakanushwa kwa viwango vyote, lakini mwenye macho haambiwi tazama!
Natambua ubinafsi wa viongozi wengi wa ccm wanaotegemea kujikomba na kujipendekeza dpw itakapoanza kazi ili wapate chochote na kuwatafutia vibarua ndugu, jamaa, marafiki na michepuko yao.. Hapa ndio ukomo wao wa kufikiri unapoishia..!

Huu unaotutikisa mpaka sasa ni mmoja tu kati ya ile 37 iliyosainiwa huko...

Good morning TanganyikaView attachment 2690651

Sent using Jamii Forums mobile app
Hembu tuambiane ukweli ni mradi gani Tanzania uliofanywa ambao utaingiza trillioni 27 directly achilia mbali other multiplier, strategically ni win ,ila too emotional individuals watapiga tu makelele. Hata akina Deng Xiaping walionekana wamemsaliti MaO ila wakajenga modern day China muda utaongea .
 
Saingine waliosaini hawakuelewa vizuri kingereza, wamesaini tu.
Hata mimi nina wasiwasi na hilo! Mtu anadai eti DPw watawajengea uwezo TPA kuendesha bandari kisasa, lakini mkataba unataja kuwa DPW watawapa TPA technolojia ya kuendeshea bandari ya majahazi zitakazokuwa chini yao (soma appendix 1, kipengele namba 2 na namba 7 kwa pamoja). Sasa kweli bandari ya majahazi ndo kujengewa uwezo kweli?
 
Hembu tuambiane ukweli ni mradi gani Tanzania uliofanywa ambao utaingiza trillioni 27 directly achilia mbali other multiplier, strategically ni win ,ila too emotional individuals watapiga tu makelele. Hata akina Deng Xiaping walionekana wamemsaliti MaO ila wakajenga modern day China muda utaongea .
DPw hata huo muda hawatakuwa nao achilia mbali kuuruhusu uongee
 
Billioni walizolipwa wanashindwa namna ya kuzirudisha.
Mzee wa msogizzzz kimyaaaa na yule mwingine wa asili ya sumalia kimyaa kuna jambo. Baba mdogo wa milimani hukoooo kimyaaaa…
Kuna jambo
Ukiona watu wanasogea kwa Maria ujue kuna jambo….
Deal imebumaaaa waachie tu
Tanganyika ni sasa
Ukiona watu wanasogea kwa Maria ujue kuna jambo….

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom