Kwanini tunaagiza karatasi nje wakati tuna kiwanda cha karatasi kinachopeleka raw materials nje?

cosa nostra

JF-Expert Member
Sep 17, 2010
1,773
1,801
Mgololo Mufindi kuna kiwanda kikubwa cha karatasi na Mufindi kuna mashamba makubwa ya miti yanayoongoza Afrika yote lakini chakushangaza materials zote produced zinakua exported to Kenya then From Kenya na nchi zingine tunanunua karatasi for final use.

Swali langu ni kwanini Kiwanda cha karatasi Mufidi hakiuzi karatasi Tanzania hasa zile za kaki zinazoweza tumika kama packing paper sacks wakati viwanda ya chai vya Tanzania vinaagiza paper sacks toka nje.

Kwanini hatuna kiwanda Tanzania cha kutengeneza karatasi nyeupe na kama kipo kwa nini kisipewe nguvu tukaachana kabisa na kuimport karatasi kabisa.

Kuelekea Tanzania ya Viwanda kweli kuna hatua zozote serikali imechukua kufuatia hali hii? au kuna ugumu gani hapo.

Naomba muongozo
 
Mpaka wahindi wajisikie kufungua kiwanda asee, wasipojisikia basi tutaendelea kuimport tu maana hatuna namna

Na kile kiwanda cha Mgololo ni cha wahindi,Mheshimiwa kazuia udongo wenye Madini usiende nje,Ila raw material za karatasi zinatoka kama kawaida,sijaelewa hapo
 
Prof.muhongo alisema uwezo wa watanzania ni kufungua viwanda vya juisi tu...mkasema ohooo ana maneno kuntu...!!!?
 
Unaweza kufanya biashara hii. Fungua kiwanda malighafi na soko lipo. Umeiona fursa fanyia kazi
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom