saigilomagema
JF-Expert Member
- Jun 5, 2015
- 4,200
- 6,193
Una umri gani. Shule umeenda kidogoTena huyu malkia alikuwa anatawala Uingereza miaka ile ya mkutano wa kugawana bara la Afrika.
Kwanini miaka yote hii tangu uhuru hatujarudisha jina lake la asili?