tatum
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 5,786
- 4,490
Mataa ya Tazara yalikuwa yanasababisha foleni kubwa kwa barabara ta Mandela na barabara ya Nyerere zamani Pugu road.
Rais Kikwete aliamua kujengwa kwa barabara ya juu yaani fly over ambayo Rais Magufuli amejifungua kwa jina la Fly over ya Mfugale.
Na baada ya uzinduzi tu tumeona jinsi ambavyo sasa hakuna foleni kwenye hizo barabara lakini Cha ajabu Kuna baadhi ya matrafiki huamua tu kuongoza magari wenyewe badala ya taa bila sababu za msingi ambazo Mara nyingi huwa ni msafara wa viongozi kwenda airport au kutoka airport.
Kwa kufanya hivyo husababisha foleni Sana kwa barabara ya Mandela kiasi cha kuwakumbusha watumiaji kipindi kile Cha machungu ya kukaa saa hadi 3 Mandela road.
Hakuna sababu ya trafiki kuongoza magari mataa ya Tazara wakati hakuna msafara wa viongozi na Kama ni kutaka kukamata pikipiki na magari tafuteni sehemu nyingine nzuri mpate hiyo pesa yenu ya kiwi na siyo mataa ya Tazara.
Rais Kikwete aliamua kujengwa kwa barabara ya juu yaani fly over ambayo Rais Magufuli amejifungua kwa jina la Fly over ya Mfugale.
Na baada ya uzinduzi tu tumeona jinsi ambavyo sasa hakuna foleni kwenye hizo barabara lakini Cha ajabu Kuna baadhi ya matrafiki huamua tu kuongoza magari wenyewe badala ya taa bila sababu za msingi ambazo Mara nyingi huwa ni msafara wa viongozi kwenda airport au kutoka airport.
Kwa kufanya hivyo husababisha foleni Sana kwa barabara ya Mandela kiasi cha kuwakumbusha watumiaji kipindi kile Cha machungu ya kukaa saa hadi 3 Mandela road.
Hakuna sababu ya trafiki kuongoza magari mataa ya Tazara wakati hakuna msafara wa viongozi na Kama ni kutaka kukamata pikipiki na magari tafuteni sehemu nyingine nzuri mpate hiyo pesa yenu ya kiwi na siyo mataa ya Tazara.