Hizi mashine za kutoa risiti za TRA ni ghali hasa kwa mtu anayeanza biashara na hana uhakika wa mzunguko wa fedha. Uchunguzi mfupi niliofanya ni kwamba Bei ya chini kabisa ni Sh. 580,000. Bei ya juu ni mpaka shs 2m.
Natoa pendekezo lifuatalo kwa TRA. Watengeneze application ambayo inaweza kutumika kwenye simu na computer. Mtu anayeanza biashara mpya, TRA wana activate TIN number ya mteja ambapo baada ya mteja ku download application, ana create profile yake eg jina la biadhara, mwaka wa fedha etc. Kurahisisha zaidi, una download na ku create profile yako, halafu app inaangalia kwenye database ya serikali ya TIN, business name, etc, na kufanya auto approval. Kesho tu unaanza biashara.
Akianza biashara, atakuwa ana print risiti kupitia application wakati tu akiwa online. Faida ni nyingi sana mfano unafuu wa gharama na urahisi wa system, software upgrading, reporting system, TRA wanaweza kuifunga remotely etc. Sasa hivi machine ikiharibika inabidi kutafuta fundi maalum kutengeneza, au ununue ingine kwa bei ghali.
Mfano wa system hii ni Kama hapa chini.
Natoa pendekezo lifuatalo kwa TRA. Watengeneze application ambayo inaweza kutumika kwenye simu na computer. Mtu anayeanza biashara mpya, TRA wana activate TIN number ya mteja ambapo baada ya mteja ku download application, ana create profile yake eg jina la biadhara, mwaka wa fedha etc. Kurahisisha zaidi, una download na ku create profile yako, halafu app inaangalia kwenye database ya serikali ya TIN, business name, etc, na kufanya auto approval. Kesho tu unaanza biashara.
Akianza biashara, atakuwa ana print risiti kupitia application wakati tu akiwa online. Faida ni nyingi sana mfano unafuu wa gharama na urahisi wa system, software upgrading, reporting system, TRA wanaweza kuifunga remotely etc. Sasa hivi machine ikiharibika inabidi kutafuta fundi maalum kutengeneza, au ununue ingine kwa bei ghali.
Mfano wa system hii ni Kama hapa chini.