GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,548
- 108,879
Sasa hivi nimebakia na 'Furaha' moja tu pekee ya Mtandao wangu huu 'pendwa' wa JamiiForums, ila na Mimi 'nilitekwa' kweli kweli 'Twitani' huko
Akamatwe wasiseme,maaana si kwa kusakwa kule😊tunywe mtori,nyama bado ziko chini.Kigogo kashakamatwa zamani sana
Twitter sasa hivi ni Tundu Lissu tu.Sasa hivi nimebakia na 'Furaha' moja tu pekee ya Mtandao wangu huu 'pendwa' wa JamiiForums, ila na Mimi 'nilitekwa' kweli kweli 'Twitani' huko