View attachment 573485
Wangeandika Ngao ya Jamii 2017/18 na si kutufedhehesha Watanzania kwa kiwango hiki.
Hata kama wangependelea kuiandika kwa Lugha ya Malkia sasa huyo Afisa aliyeipokea kwanini hakuweza kujiongeza hata kuikagua?
Uongozi Mpya madudu yaleyale......
Teheee, haters bhanaNdo maana yanga tukaamua kuipotezea
Sent from my TV