Kwanini Tanzania hatuna self made young & rich, black people, kama kina blord, mompha, na e-money wa kule Nigeria?

Sasa unashangaa nini kwa huyo kijana wa miaka 26 kutoka Nigeria akiwa tajiri?
Ushachanganya madesa nitakugonga maswali ambayo hautaweza kuyajibu maana kule juu umeandika kingine na huku chini unaandika kingine uzidi kupuyanga tu, huyo SIO programmer na hajui chochote kuhusu tech yeye anatafuta idea anatafuta developer wanadesign app ili apige Pesa umesema mwenyewe hii statement kule juu sasa unamfananisha vipi na hao developer's wa tangu na tangu una akili wewe? Huyo ni Mwizi TU wanaijeria wengi ni vibaka mtandaoni wanaiba sana hao mamwehu usiwafananishe na Steve Jobs yaan hawamfikii hakuna wa kumfikia Steve Jobs Nigeria hata huyo blord hamsogelei Steve Jobs hata robo copy na paste ideas unasema ni developer eti tech fyokofyoko kawa billionaire, waongopewe hao hao ukiweza leta valid source ya maelezo yako with reference aminifu sio udaku
 
Tanzania Kuna urasimu zaidi ya unavyojua, kizungumkuti,
Hapa Si misheria imekaa juu chini kila mtu anataka ale humo humo wasengerema wakiona fursa na wao wanataka waponee humo humo kwa mgongo wa Serikali

Kuna washenzi hawafanyi kazi Ila wanalipwa Mshahara wako kazi kukuza vitambi tu
 
Tunaongelea kujiendeleza zaidi na kufika mbali
Mimi siwezi kuiba
Umemuona huyu mdosi wa bongo amebuni hiyo mita ya maji akipata tenda kaula View attachment 2980050
Mwingine kabuni vikombe vya kufungia na kuunga waya za Umeme kwenye nguzo, technology ya India Ila hajapewa tenda zaidi ya kufikisha proposal TANESCO

Kwa hio sishangai kuhusu hilo na akinyimwa hapa anapeleka KENYA fasta wanaichukua wanatumia wao Sisi huku Si Sheria zetu za kisenge
 
Jamaa kaongea na kupiga mule mule
Tz wachawi sana wa maendeleo
Wanasiasa wanaona mtu akiendelea basi anachukua nchi
Kitu wasichokijua ni kwamba sio wote tunapenda siasa
Diaspora wamepiga vita haswa
Post #11 kamaliza kila kitu kama tukiangalia upande mwingine
katika vitu ambavyo sivi pendi na nili onywa na mentor wangu ni siasa.
ali nambia balance mzani wako, USI jifanye mjuaji au urafiki nao.
 
Tunaongelea kujiendeleza zaidi na kufika mbali
Mimi siwezi kuiba
Umemuona huyu mdosi wa bongo amebuni hiyo mita ya maji akipata tenda kaula View attachment 2980050
Kuna Jamaa nilimuona clouds tv miaka kama mitano nyuma,alibuni mfumo ambao ukinunua umeme units zinaongezeka hapo hapo bila kuingiza token kwenye meter,anasema kawasiliana na tanesko wanampuuza,

Akajaribu palepale kununua umeme,ukaingia,Hadi Leo yuko wapi??jambo zuri la kurahisisha maisha wao hawataki
 
Ushachanganya madesa nitakugonga maswali ambayo hautaweza kuyajibu maana kule juu umeandika kingine na huku chini unaandika kingine uzidi kupuyanga tu, huyo SIO programmer na hajui chochote kuhusu tech yeye anatafuta idea anatafuta developer wanadesign app ili apige Pesa umesema mwenyewe hii statement kule juu sasa unamfananisha vipi na hao developer's wa tangu na tangu una akili wewe? Huyo ni Mwizi TU wanaijeria wengi ni vibaka mtandaoni wanaiba sana hao mamwehu usiwafananishe na Steve Jobs yaan hawamfikii hakuna wa kumfikia Steve Jobs Nigeria hata huyo blord hamsogelei Steve Jobs hata robo copy na paste ideas unasema ni developer eti tech fyokofyoko kawa billionaire, waongopewe hao hao ukiweza leta valid source ya maelezo yako with reference aminifu sio udaku
Nani kamfananisha huyo dogo wa Nigeria na Steve Jobs, mbona unakuwa na akili kama za watoto wa primary, nimeongelea kina Steve kwa sababu kukupa mfano kwamba vijana wanaweza, pia mtu anaweza tajirika hata katika umri mdogo tu.

Haijalishi kama we ni programmer au unaajiri, Programmer wa nini, App kama hizo kutetengeza usifikiri ni kama kujitawaza uingiapo chooni, hio App ina frontend hapo ni developer mmoja au team, kuna backend hao ni developer wengine, kuna UI design huyo ni mwingine, kuna kulipia web services, API n.k kwenye companies kama Azure, Amazon web services au google cloud n.k, achilia hapo, kuna namna ya kufanya management ya App, kama updates, kurekebisha errors, hata M-pesa huwa kuna kipindi wanafanya marekebisho hao ni developers wote unawalipa, au unafikiri App ni makalio kila mtu anaweza kuwa nayo?
Bado hujaajiri customer care kwa ajili ya App, hujachukua office, internet bills, computers kwa ajili ya wafanya kazi n.k

Na wewe nikuulize swali.
Kwanini fundi ujenzi wanajenga mijengo ya kifahari halafu wao wanaishi kwenye nyumba za kawaida au pengine wamepanga hawana hata kiwanja, kama yeye anajenga jumba la kifahari na maarifa anayo kwa nini asijitengenezee aishi?

We ni mjinga kweli...
 
Ushachanganya madesa nitakugonga maswali ambayo hautaweza kuyajibu maana kule juu umeandika kingine na huku chini unaandika kingine uzidi kupuyanga tu, huyo SIO programmer na hajui chochote kuhusu tech yeye anatafuta idea anatafuta developer wanadesign app ili apige Pesa umesema mwenyewe hii statement kule juu sasa unamfananisha vipi na hao developer's wa tangu na tangu una akili wewe? Huyo ni Mwizi TU wanaijeria wengi ni vibaka mtandaoni wanaiba sana hao mamwehu usiwafananishe na Steve Jobs yaan hawamfikii hakuna wa kumfikia Steve Jobs Nigeria hata huyo blord hamsogelei Steve Jobs hata robo copy na paste ideas unasema ni developer eti tech fyokofyoko kawa billionaire, waongopewe hao hao ukiweza leta valid source ya maelezo yako with reference aminifu sio udaku
yaani we Jamaa una zidi kudhirisha ni empty kabisa 😁😂😂.
Sasa jobs Ali tengeneza kipi kwa mikono yake?!!.

Yeye Ali kuwa ana kuja na wazo au idea, Kisha watu ndo Wana ifanya.
Watu Kama kina (Steve Wozniak). UNa mjua kwanza😁
Au tony faddel
.
Steve Ali jua kuja na ideas Kisha kuwa hamasisha tech guys wazi fanyie kazi.
Bali pia ubunifu Ali kuwa nao.

Hayo huyo dogo ana tofauti gani na Steve ??, Tena kina Steve Wali kuwa na mazingira mazuri ya kazi.
Na hata support kutoka kwa watu, tofauti na Huku africa
 
Serikali haijali,umasikini wetu ndio utajiri wao.
Wabongo wengi SIO Serikali TU wabongo wengi hio IPO kwenye damu wabongo wengi hawapendi wenzao watoboe kimaendeleo zaidi watakuwekea vikwazo, yaan wabongo ni kauzibe kila sehemu kila idara ni kuzibiana tu na kutiana umasikini yaan kuna mtu wewe akikuona unateseka na umasikini anafurahia sana
 
yaani we Jamaa una zidi kudhirisha ni empty kabisa 😁😂😂.
Sasa jobs Ali tengeneza kipi kwa mikono yake?!!.

Yeye Ali kuwa ana kuja na wazo au idea, Kisha watu ndo Wana ifanya.
Watu Kama kina (Steve Wozniak). UNa mjua kwanza😁
.
Steve Ali jua kuja na ideas Kisha kuwa hamasisha tech guys wazi fanyie kazi.
Bali pia ubunifu Ali kuwa nao.

Hayo huyo dogo ana tofauti gani na Steve ??, Tena kina Steve Wali kuwa na mazingira mazuri ya kazi.
Na hata support kutoka kwa watu, tofauti na Huku africa
Huyo kolonyani wenu kutoka Nigeria usimfananishe na Steve Jobs kiapp chenyewe alichobuni hakipo World Wide kimebase Nigeria tu na wanaompaisha ni wanaigeria tu unamfananisha vipi na Zuckerberg mwenye FB inayopiga kazi Dunia nzima, Steve Jobs alianza kazi na Bill Gates baadae wakatemana Macintosh na Microsoft Windows Gates aliacha Chuo Zuckerberg aliacha Chuo Steve aliacha Chuo haya huyo kolonyani wenu aliacha Chuo wapi?
 
Huyo kolonyani wenu kutoka Nigeria usimfananishe na Steve Jobs kiapp chenyewe alichobuni haipo World Wide unamfananisha vipi na Zuckerberg mwenye FB inayopiga kazi Dunia nzima, Steve Jobs aliamza na Bill Gates baadae wakatemana Gates aliacha Chuo Zuckerberg aliacha Chuo Steve aliacha Chuo haya huyo kolonyani wenu aliacha Chuo wapi?
kumbe kuacha chuo ni sifa 🤣 😁, halafu we SI uli pinga pale juu Eti jobs mkali.
Sasa tume kupa reason una badilisha mada Tena??!.

Halafu mazingira ya kazi Kwa Africa na ulaya una yaelewa kweli??.
Support kwa Ngozi nyeusi ni ngumu, so mtu ukiona katoboa lazima u salute mzee.

Angalia Kama kina Maxence Melo wanavyo banwa mbavu kibongo bongo.
Mara ndani, Mara toa kitu fulani
Una fikiri huyo mark Zuckerberg ange weza hizo pigo???
 
Hapo mwisho ndio umeongea Ila paragraphs za juu hakuna ulichoongea haujui Backdoor yake ni IPI Mzee mengine usiyazungumzie km hauyajui kwa kina, app 4 tu uwe billionaire Mange Kimambi angekua anakimbiza kuna watu wana app kibao na sio mabillionaire, Ila hapo kwenye SHITHOLE nimekuelewa vizuri
Mkuu, sio kila app ina utajiri, huwezi kulinganisha app za udaku kama za kina Mange na app muhimu za miamala ya pesa, bitcoins, n.k.

Hakuna mwekezaji anaeweza kuja hapa bongo kuwekeza app ya udaku.
 
kumbe kuacha chuo ni sifa 🤣 😁, halafu we SI uli pinga pale juu Eti jobs mkali.
Sasa tume kupa reason una badilisha mada Tena??!.

Halafu mazingira ya kazi Kwa Africa na ulaya una yaelewa kweli??.
Support kwa Ngozi nyeusi ni ngumu, so mtu ukiona katoboa lazima u salute mzee.

Angalia Kama kina Maxence Melo wanavyo banwa mbavu kibongo bongo.
Mara ndani, Mara toa kitu fulami
Una fikiri huyo mark ange weza hizo pigo???
Kuna documentary inaitwa The triumph of the nerds,angalia Bill Gates,Steve Jobs,Na Steve Wozniak walivyoanza na kusimamisha kampuni zao Hadi zilipo Sasa..Jobs mtaalumu wa masuala ya umeme na kapiga sana kazi kiwandani
 
Kuna documentary inaitwa The triumph of the nerds,angalia Bill Gates,Steve Jobs,Na Steve Wozniak walivyoanza na kusimamisha kampuni zao Hadi zilipo Sasa..Jobs mtaalumu wa masuala ya umeme na kapiga sana kazi kiwandani
hakuna asiye pinga Hilo, ila sio sawa na kina tony faddel au Wozniak mzee.
Yeye mwenyewe Alisha kiri
 
Akajaribu palepale kununua umeme,ukaingia,Hadi Leo yuko wapi??jambo zuri la kurahisisha maisha wao hawataki
Sheria Sheria zao za kisenge kisenge TU ndio watu tumeuchubua hatutaki tabu nao wao wanataka ukiweka Ugali mezani basi kila mtu anataka atie Mkono wake akate matonge mwingine hajui hata msoto uliopitia anataka ale kibwete tu ndio kuna watu wanalipwa mishahara Ila hakuna kazi wanazofanya zaidi ya kusign in na kusign out washa ndinga kidimbwi KESHO tena mwisho wa Mwezi Mshahara unasoma
 
Habarini

Case in point ni huyu blord wa Nigeria, huenda wengi humu hamumfahamu, huyu kijana ana miaka 26 tu ni ceo wa kampuni yake ya jetpay kule Nigeria, lifestyle analoishi si mchezo, yani unaona kabisa huyu mtu hafeki life, haya ndo maisha yake halisi, efcc kule Nigeria kuna kipindi walimkamata, ila baadae walimuachia.

Hapa Tanzania kuna kina chief godlove (nahisi hana hela nyingi kihivyo anazoclaim anazo) na sirjeff Dennis (huyu tayari chali), Patrick ngowi (sahivi chali) dj ally b (asset yake nahisi ni nyumba 1 ya ghorofa ambayo inasemekana amepanga, na magari ambayo huenda ni ya kukodi ), don shafiney (hela zake marinjirinji)

Ina maana hapa Tanzania hakuna celebrity entrepreneur kijana ambaye ni self made mwenye networth walau ya $1 million usd hata mmoja, wanaijeria wametuzidi wapi?

Hata kwenye list ya matajiri top 10 Tanzania hamna mweusi hata mmoja, alikuepo Mengi ndo huyo alishafariki

Picha za huyo blord hapa chini ambae anampango wa kutumia $216,000 (300 million naira kujenga kanisa)

View attachment 2979854View attachment 2979855
Diamond platinum
 
Kuna Jamaa nilimuona clouds tv miaka kama mitano nyuma,alibuni mfumo ambao ukinunua umeme units zinaongezeka hapo hapo bila kuingiza token kwenye meter,anasema kawasiliana na tanesko wanampuuza,

Akajaribu palepale kununua umeme,ukaingia,Hadi Leo yuko wapi??jambo zuri la kurahisisha maisha wao hawataki
Wanataka kuwa taifa masikini ili wao wazidi kujinufaisha
Pambaneni tu na ubunifu hasa kwenye technology
 
Habarini

Case in point ni huyu blord wa Nigeria, huenda wengi humu hamumfahamu, huyu kijana ana miaka 26 tu ni ceo wa kampuni yake ya jetpay kule Nigeria, lifestyle analoishi si mchezo, yani unaona kabisa huyu mtu hafeki life, haya ndo maisha yake halisi, efcc kule Nigeria kuna kipindi walimkamata, ila baadae walimuachia.

Hapa Tanzania kuna kina chief godlove (nahisi hana hela nyingi kihivyo anazoclaim anazo) na sirjeff Dennis (huyu tayari chali), Patrick ngowi (sahivi chali) dj ally b (asset yake nahisi ni nyumba 1 ya ghorofa ambayo inasemekana amepanga, na magari ambayo huenda ni ya kukodi ), don shafiney (hela zake marinjirinji)

Ina maana hapa Tanzania hakuna celebrity entrepreneur kijana ambaye ni self made mwenye networth walau ya $1 million usd hata mmoja, wanaijeria wametuzidi wapi?

Hata kwenye list ya matajiri top 10 Tanzania hamna mweusi hata mmoja, alikuepo Mengi ndo huyo alishafariki

Picha za huyo blord hapa chini ambae anampango wa kutumia $216,000 (300 million naira kujenga kanisa)

View attachment 2979854View attachment 2979855
mimi hapa soon.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom