kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,335
- 12,654
- Thread starter
- #21
Ukilivunja utapata makampuni ya mabwawa ya maji tu (vyanzo vya umeme), wasambazaji tu (nguzo na nyaya - miundombinu) na wanaonunua umeme na kuuza tu (luku tu). Kila mtu atafanya kazi yake inayomlipa kuliko hivi sasa wafanyakazi wa tanesco hata kama hakuna umeme wanalipwa vilevile. Serikali ijiondoe kwenye biashara ya umeme kama vile ilivyouza na kutaifisha mashamba makubwa ya umma, nyumba za umma na mashirika na viwanda vya umma.Ikivunjwa ndio umeme hautakatika ? Tuache ujingaa......tukomae serikali iwe setious kuwekeza miundo mbinj kisasa tuweze kufikia .....sehemu umeme ukatile only sababu maintenance sio kuvunjaa tuache siasaa