Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 13,140
- 27,100
Wakuu toka mjadala wa kushambuliwa kwa Tundu Lissu kumekuwa na shutuma kwamba CCTV camera ziling'olewa na hazijulikani zilipo...
Hili suala limekuwa likijirudia kila kukicha ma si serikali, bunge wala Musiba aliyeweza kutolea ufafanuzi...
Je ni kweli camera zilitolewa? Hata kama zilitolewa wanashindwa hata kudanganya kwamba hazikuwepo kabisa??
Hili suala limekuwa likijirudia kila kukicha ma si serikali, bunge wala Musiba aliyeweza kutolea ufafanuzi...
Je ni kweli camera zilitolewa? Hata kama zilitolewa wanashindwa hata kudanganya kwamba hazikuwepo kabisa??