Kwanini swali kuhusu camera mahali aliposhambuliwa Tundu halijawahi jibiwa popote?

Unakumbuka wale wataalam wao wa IT wakati wa uchaguzi 2015?! Zitakuwa huko.
Nchi za wanzetu wakitaka kufanya uhalifu, utafiti unafanyika kwa kina na kwa muda mrefu kwa kuzingatia hatua zote.

Ila hawa wa kwetu wasiojulikana lakini wanajulikana, mbinu waliyokuwa nayo ni kuondoa walinzi lindoni na kufuatilia gari la Lissu nyuma, wakisahau matokeo ya tukio yatakuwaje na watapoteza uhalisia namna gani.

Wametupotezea risasi zetu 38 bure kabisa.
 
Kwani camera ziling'olewa baada au kabla ya tukio?! Na huwa hazina recording tape au zenyewe zuna nasa na kutunza records.
Kamera huwa zinapeleka taswira ktk kifaa kinachoitwa DVR (digital video recorder) ambayo huhifadhi taswira (au wakati mwingine pamoja na sauti) katika hard disc iliyo ndani yake.
Ni kweli hawakuwa na ulazima wa kung'oa kamera pamoja na mfumo mzima na badala yake wangeweza kuondoa hard disc yenye taswira za tokio hilo na kuweka hard disc mbovu. Kwa hakika walipanik
 
Nchi za wanzetu wakitaka kufanya uhalifu, utafiti unafanyika kwa kina na kwa muda mrefu kwa kuzingatia hatua zote.

Ila hawa wa kwetu wasiojulikana lakini wanajulikana, mbinu waliyokuwa nayo ni kuondoa walinzi lindoni na kufuatilia gari la Lissu nyuma, wakisahau matokeo ya tukio yatakuwaje na watapoteza uhalisia namna gani.

Wametupotezea risasi zetu 38 bure kabisa.
Hahaha mkuu nchi hii tuombe Nyerere afufuke, tutatawaliwa hadi na kina Magufuli tusipoangalia.
 
Kamera huwa zinapeleka taswira ktk kifaa kinachoitwa DVR (digital video recorder) ambayo huhifadhi taswira (au wakati mwingine pamoja na sauti) katika hard disc iliyo ndani yake.
Ni kweli hawakuwa na ulazima wa kung'oa kamera pamoja na mfumo mzima na badala yake wangeweza kuondoa hard disc yenye taswira za tokio hilo na kuweka hard disc mbovu. Kwa hakika walipanik
Ndio maana nikauliza maana DVR ndiyo huwa inabebwa sio camera, sijui wao kwanini walifanya walivyofanya.
 
Ni kweli hawakuwa na ulazima wa kung'oa kamera pamoja na mfumo mzima na badala yake wangeweza kuondoa hard disc yenye taswira za tokio hilo na kuweka hard disc mbovu. Kwa hakika walipanik
Siku zote ukiwa na wasiwasi huwezi kufanya jambo ipasavyo.

Akili inabaki kwenye jambo moja, wao akili zao zilibaki ni kung'oa tu ilihali cha kutolewa kilikuwa kimoja tu.
 
Kamera huwa zinapeleka taswira ktk kifaa kinachoitwa DVR (digital video recorder) ambayo huhifadhi taswira (au wakati mwingine pamoja na sauti) katika hard disc iliyo ndani yake.
Ni kweli hawakuwa na ulazima wa kung'oa kamera pamoja na mfumo mzima na badala yake wangeweza kuondoa hard disc yenye taswira za tokio hilo na kuweka hard disc mbovu. Kwa hakika walipanik
Labda hawakuwa na compatible DVR na kupanic nako kupo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu toka mjadala wa kushambuliwa kwa Tundu Lissu kumekuwa na shutuma kwamba CCTV camera ziling'olewa na hazijulikani zilipo...

Hili suala limekuwa likijirudia kila kukicha ma si serikali, bunge wala Musiba aliyeweza kutolea ufafanuzi...

Je ni kweli camera zilitolewa? Hata kama zilitolewa wanashindwa hata kudanganya kwamba hazikuwepo kabisa??
Sehemu mujarab ya kupatia majibu na Ufafanuzi kuhusu jambo hilo na mengine kuhusu tukio hilo ni Mahakamani.

Tujitahidi kuwashawishi wahusika wakuu walioshuhudia tukio hilo, yaani dereva na Lissu wajitokeze kushirikiana na polisi katika upelelezi wa tukio zima. Hapo ndio pa kuanzia.
 
Tujitahidi kuwashawishi wahusika wakuu walioshuhudia tukio hilo, yaani dereva na Lissu wajitokeze kushirikiana na polisi katika upelelezi wa tukio zima. Hapo ndio pa kuanzia.
Kama wangekufa upelelezi usingefanyika?
 
Sasa mkuu kwani inashindikana? Mbona camera ziliifata gari alilotekwa MO mpka njia panda ya Kawe?
Hahahaaaaa,nchi hii hakuna kinachoshindikana!
YEHODAYA aliwahi sema ile cctv ya mo ni high quality,pia unaweza kufunga hata kwenye makalio!
Hii ilikuwa ni baada ya wadau kuhoji quality na angle ya cctv picture iliyotolewa na jeshi la polisi!
 
Back
Top Bottom