Nimekuwa nikifuatilia vipindi mbalimbali vya mijadala katika tv zetu, katika vipindi hivyo wamekuwa wakiwaalika watu mbalimbali wakiwemo wanasiasa, mfano Profesa Lipumba, Jamesi mbatia, juliuas mtatiro na hata Maalim seif, lakini ni ngumu sana kumuona dk Slaa au Mbowe wakialikwa kwenye vipindi hivyo je ni uoga wa vituo hivyo kuwaalika watu hawa? Mfano kuna kipindi cha dakika 45 cha itv pili je tutafika cha chanel teni, tatu malumbano ya hoja, nne tuongee asubuhi cha star tv, kipima joto nk.
Je kwa nini hawashiriki!
Je kwa nini hawashiriki!