Rapha
JF-Expert Member
- Aug 6, 2009
- 634
- 201
1. Mgombea yoyote atakayepata madaraka kwangu ni sawa (sina maslahi binafsi na mgombea yoyote yule, wala chama chochote kile).
2. Kwanini niende nikapange foleni kumpa mtu nafasi ya kupata mamilion ya pesa kama mshahara na kupata kiinua mgongo cha mamilion ambayo hayatanifaidisha chochote. (Especially kwa post ya wabunge)
3. Wote wanaogombea wanataka fursa ya kutawala, kumiliki na kuzitumia bila kikwazo tunu tulizojaaliwa na Mwenyezi Mungu, hivyo sina sababu ya kwenda kumpa mtu nafasi ya kuzivuna tunu za nchi yangu pendwa.
Ninacho amini mimi, wagombea wote ni wanasiasa na wanasiasa wote ni waogo.
2. Kwanini niende nikapange foleni kumpa mtu nafasi ya kupata mamilion ya pesa kama mshahara na kupata kiinua mgongo cha mamilion ambayo hayatanifaidisha chochote. (Especially kwa post ya wabunge)
3. Wote wanaogombea wanataka fursa ya kutawala, kumiliki na kuzitumia bila kikwazo tunu tulizojaaliwa na Mwenyezi Mungu, hivyo sina sababu ya kwenda kumpa mtu nafasi ya kuzivuna tunu za nchi yangu pendwa.
Ninacho amini mimi, wagombea wote ni wanasiasa na wanasiasa wote ni waogo.