Rapha
JF-Expert Member
- Aug 6, 2009
- 634
- 201
- Thread starter
- #61
Tatizo la Watz ni kuwa na tabia ya udont care..lzm ujali issue delicate km uchaguzi..unalalamika abt the govt wakati u hv the nafasi ya kuitengeneza mwnyw..usiboe
Mkuu... Nafasi hiyo ipo mikononi kwa NEC (CCM),
CUF yupo LIPUMBA (the one and only)
CHADEMA honestly sifahamu jinsi wanavyompendekeza mgombea katika chama chao (kama waliomuomba Slaa agombee in 2010) kama kuna mtu anawafaham ni vyema akatujulisha.