Kwanini sitapiga kura

Kwanini sitapiga kura

Elewa mkuu, sijasema sitaki dola iundwe... ila sioni tofauti yoyote kati ya wagombea wa kuongoza dola hiyo. that means yoyote atakaye shinda mambo yatakua ni haya haya... police walewale utaratibu uleule sheria zilezile bajet zilezile jeshi lilelile viwanda na sera mbalimbali zitakua zilezile.
why should i vote?

Nimegundua kichwani haujui kitu kabisa kuundwa dola hakuwezi kufanyika bila kuchagua viongizi watakaounda serikali!!!



hivi ni kwwli hujui hata maana ya serikali(government) ni kitu gani??!!


pole sana mkuu
 
Also, people must demand for strong institutions. Strong institutions are never granted. They are demanded. Kuacha kupiga kura is tantamount to thinking that strong institutions will fall from the sky.
Institution like?
 
Nimegundua kichwani haujui kitu kabisa kuundwa dola hakuwezi kufanyika bila kuchagua viongizi watakaounda serikali!!!



hivi ni kwwli hujui hata maana ya serikali(government) ni kitu gani??!!


pole sana mkuu

Why should i involve myself in that process ?
 
Tatizo la Watz ni kuwa na tabia ya udont care..lzm ujali issue delicate km uchaguzi..unalalamika abt the govt wakati u hv the nafasi ya kuitengeneza mwnyw..usiboe
 
1. Mgombea yoyote atakayepata madaraka kwangu ni sawa (sina maslahi binafsi na mgombea yoyote yule, wala chama chochote kile).

2. Kwanini niende nikapange foleni kumpa mtu nafasi ya kupata mamilion ya pesa kama mshahara na kupata kiinua mgongo cha mamilion ambayo hayatanifaidisha chochote. (Especially kwa post ya wabunge)

3. Wote wanaogombea wanataka fursa ya kutawala, kumiliki na kuzitumia bila kikwazo tunu tulizojaaliwa na Mwenyezi Mungu, hivyo sina sababu ya kwenda kumpa mtu nafasi ya kuzivuna tunu za nchi yangu pendwa.
Ninacho amini mimi, wagombea wote ni wanasiasa na wanasiasa wote ni waogo.

Kupigia kura MADHALIMU ni kusaidia UDHALIMU waache WAFU wakazike WAFUWAO.Kupiga kura au kuacha haipunguzi wala kuongeza chochote.
Kuibiwa rasilimali kukopalepale.
 
Tatizo la Watz ni kuwa na tabia ya udont care..lzm ujali issue delicate km uchaguzi..unalalamika abt the govt wakati u hv the nafasi ya kuitengeneza mwnyw..usiboe


Kwahio wanaopiga kura wote ni walalamikaji wa kuilalamikia serekali.je kama mtu hana malalamiko hanaulazima wa kukaa foleni?
 
Kwahio wanaopiga kura wote ni walalamikaji wa kuilalamikia serekali.je kama mtu hana malalamiko hanaulazima wa kukaa foleni?
Wanaopiga kura ni watu wanaojali kura Yao na wanaotambua kwmb wao Ndo wanaotengeneza serikali..Mtu km ajiskii kupiga kura alale tu Sio ishuu
 
Mkuu kama hupigi kura si ungekaa kimya tu na lako moyoni!!!?. Usidanganye watu, siku zote anayekwenda kujinyonga huwa hasemi.

Mbona wanaenda kupiga kura hawakai kimya,hakuna anaemkataza mwenzie kupiga au kuacha na wala hakuna anaeweza kumlazimisha mwenzie kupiga au kuacha.
 
Wanaopiga kura ni watu wanaojali kura Yao na wanaotambua kwmb wao Ndo wanaotengeneza serikali..Mtu km ajiskii kupiga kura alale tu Sio ishuu

Sio yeye tu.Tupowengi lakini hio haizuwii mtu kujieleza kwasababu amefikiri tofauti na mawazo yako.
 
Wanaopiga kura ni watu wanaojali kura Yao na wanaotambua kwmb wao Ndo wanaotengeneza serikali..Mtu km ajiskii kupiga kura alale tu Sio ishuu

Sio yeye tu.Tupowengi lakini hio haizuwii mtu kujieleza eti kwasababu amefikiri tofauti na mawazo yako.
 
Ogopa sana kusema "tupo"wengi..mkumbo huo


Alichokifanya hapo ni kwamba ameniwahi tu, angechelewa kidogo angekuta nimeshatupia jamvini.
Hakuna mkumbo hapo,.
Iweje ukapige kura kumchagua mtu na kumtengenezea maslahi mtu ambae hakujui.na isitoshe huyohuyo ni mtu mwenye historia ya dhulma.

Hakuna mtu atakaekwambia kwamba UNAFATA MKUMBO endapo utadamka asubuhi kwenda kupanga foleni ya kumchagua mtu wako.
 
Alichokifanya hapo ni kwamba ameniwahi tu, angechelewa kidogo angekuta nimeshatupia jamvini.
Hakuna mkumbo hapo,.
Iweje ukapige kura kumchagua mtu na kumtengenezea maslahi mtu ambae hakujui.na isitoshe huyohuyo ni mtu mwenye historia ya dhulma.

Hakuna mtu atakaekwambia kwamba UNAFATA MKUMBO endapo utadamka asubuhi kwenda kupanga foleni ya kumchagua mtu wako.

Sawa Ndugu
 
nikifikiria zile foleni,nguvu ya kwenda kujiandikisha na kupiga kura inaisha asee.....
 
Kupiga kura lazima uwe na akili timamu.. Sasa kwa hali hii utimamu wako una walakini, ni bora usipige kura kuliko kujaza foleni nakuharibu kura.
 
Back
Top Bottom