Kwanini sitaki kupata mtoto

Nimekuelewa mkuu,ila mpaka nimefikia uamuzi huu nakua nishajua ntafanya kitu gani zikitokea situation kama hizo.

Najua umuhimu wa watoto ila kwangu sio lazima i can handle this fragile fucked up life.

Anyway asante kwa mchango wako mkuu
Its your life man. Mwisho wa siku ni maamuzi yako. We need people like in the society, ili tuwe tunawatumia kama live examples tunapofundisha vizazi vinavyokuja.
 
Ukijua kwamba Jaydee na Wema wanapitia kipindi gani katika maisha. Utaona umuhimu wa kuwa fertile. Kuwa na mipesa na mimali sio lolote kama huna family.
 
sa unamwambia nani, hayo ni matatizo yako binafsi mkuu hayatuhusu. usituletee frastresheni zako asubuhi asubuhi hapa.
 
Sawa sawa. Ni mawazo mazuri sana.
 
Ukijua kwamba Jaydee na Wema wanapitia kipindi gani katika maisha. Utaona umuhimu wa kuwa fertile. Kuwa na mipesa na mimali sio lolote kama huna family.
Mimi ni fertile,umuhimu wa kua fertile wajulikana,ila sio kila mtu lazma azae,sio kila mtu mwenye uwezo wa kuzaa azae,ukijiona hufit kulea haina haja ya kuzaa
 
Y
Mimi ni fertile,umuhimu wa kua fertile wajulikana,ila sio kila mtu lazma azae,sio kila mtu mwenye uwezo wa kuzaa azae,ukijiona hufit kulea haina haja ya kuzaa
Mimi ni fertile,umuhimu wa kua fertile wajulikana,ila sio kila mtu lazma azae,sio kila mtu mwenye uwezo wa kuzaa azae,ukijiona hufit kulea haina haja ya kuzaa
Wasted Sperm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…