MIUNDOMBINU
JF-Expert Member
- Apr 14, 2010
- 465
- 96
Ndugu zangu,
Kwanza napenda kumushukuru Mungu wetu anayetuwezesha kuwa hai mimi na wewe. Nimekutana na Hoja binafsi katika Gazeti la Mwananchi la leo 01.08.2010.
Mwandishi wa makala hii ni ndugu SAMMY MAKILLA. Labda ni nukuu baadhi ya maneno yaliyopo katika hoja hiyo binafsi;
"MTANZANIA mmoja aliyewahi kwenda ulaya alinifanya niamini kwamba kuna tofauti kubwa kati ya binadamu wa sasa na wale wa zamani.
Yeye aliniambia kwamba, jambo lililomshangaza huko ni kukuta madaraja makubwa na mzuri, makanisa makubwa, majumba mazuri ya kifalme na kitajiri na majengo mengine yaliyojengwa miaka miatano au zaidi iliyopita. Majumba hayo yapo kuanzia Misri, Italia, Uingereza, Uchina, nk.
Kilichomshangaza nikuwa wakati huo hakukuwa na vifaa vya kisasa vya ujenzi kama ilivyo leo, akawa anajiuliza kwanini watu hao enzi hizo za Tekenelojia duni waliwezaje kutengeneza madaraja mazuri, majumba makubwa na Watanzania wa leo wanashindwa?
Je ni kitu gani walichokuwa nacho hao binadamu wa kale kiasi cha kufanya mambo makubwa lakini sisi tunashindwa?" Mwisho wa kunukuu.
Ndugu zangu, mimi pia nimeguswa sana na hoja hii ndiyo maana nikaamua kuileta hapa JF ili iweze kujadiliwa kwa mapana zaidi, kwani hapa JF ni kisima cha maarifa.
Asanteni.
Kwanza napenda kumushukuru Mungu wetu anayetuwezesha kuwa hai mimi na wewe. Nimekutana na Hoja binafsi katika Gazeti la Mwananchi la leo 01.08.2010.
Mwandishi wa makala hii ni ndugu SAMMY MAKILLA. Labda ni nukuu baadhi ya maneno yaliyopo katika hoja hiyo binafsi;
"MTANZANIA mmoja aliyewahi kwenda ulaya alinifanya niamini kwamba kuna tofauti kubwa kati ya binadamu wa sasa na wale wa zamani.
Yeye aliniambia kwamba, jambo lililomshangaza huko ni kukuta madaraja makubwa na mzuri, makanisa makubwa, majumba mazuri ya kifalme na kitajiri na majengo mengine yaliyojengwa miaka miatano au zaidi iliyopita. Majumba hayo yapo kuanzia Misri, Italia, Uingereza, Uchina, nk.
Kilichomshangaza nikuwa wakati huo hakukuwa na vifaa vya kisasa vya ujenzi kama ilivyo leo, akawa anajiuliza kwanini watu hao enzi hizo za Tekenelojia duni waliwezaje kutengeneza madaraja mazuri, majumba makubwa na Watanzania wa leo wanashindwa?
Je ni kitu gani walichokuwa nacho hao binadamu wa kale kiasi cha kufanya mambo makubwa lakini sisi tunashindwa?" Mwisho wa kunukuu.
Ndugu zangu, mimi pia nimeguswa sana na hoja hii ndiyo maana nikaamua kuileta hapa JF ili iweze kujadiliwa kwa mapana zaidi, kwani hapa JF ni kisima cha maarifa.
Asanteni.