Mwanamutapa
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 513
- 489
Tatizo kubwa la sasa barani Afrika sio ukoloni mamboleo kama wanavyoimba viongozi wetu bali tatizo la Afrika ni viongozi wenyewe wanaokimbilia madaraka kujilimbikizia mali wao na familia zao, ndugu zao, jamaa zao, na marafiki zao hawapo kwa ajili ya manufaa ya taifa bali kwa manufaa binafsi hiyo neo colonialism, World Bank na IMF wanatumia kama kinga kutafuta sehemu za kulaumu.
Utashangaa ni Afrika tu kwenye uchaguzi always chama tawala kinashinda wakati hakijafanya lolote kwa wananchi wakati ulaya na Marekani ambapo viongozi hudeliver kwa wananchi sio lazima chama tawala kishinde na hubwagwa sana lakini Afrika story ni tofauti always vinashinda vyama tawala kichekesho ni kwamba pindi yakitokea mapinduzi wanajeshi wakaitisha uchaguzi vyama tawala Afrika hubwagwa vibaya sana hapa maana yake ni nini?
Maana yake chaguzi za Afrika haziko huru na si za haki zipo kulinda vyama tawala mpaka mapinduzi yatokee.
Utashangaa ni Afrika tu kwenye uchaguzi always chama tawala kinashinda wakati hakijafanya lolote kwa wananchi wakati ulaya na Marekani ambapo viongozi hudeliver kwa wananchi sio lazima chama tawala kishinde na hubwagwa sana lakini Afrika story ni tofauti always vinashinda vyama tawala kichekesho ni kwamba pindi yakitokea mapinduzi wanajeshi wakaitisha uchaguzi vyama tawala Afrika hubwagwa vibaya sana hapa maana yake ni nini?
Maana yake chaguzi za Afrika haziko huru na si za haki zipo kulinda vyama tawala mpaka mapinduzi yatokee.