magnifico
JF-Expert Member
- Jan 14, 2013
- 7,375
- 13,044
- Thread starter
- #21
mkuu umeniacha hapo? kwamba Simba akicheza Saa nane sisi mashabiki wa Mbeya City tutaacha kwenda kuangalia timu yetu saa kumi? Huku mnakokuita mikoani kuna ushabiki wa kitofauti sana. Huko Dar mtu akikuambia ye Simba basi ni Simba kweli. Huku mikoani tunamiliki timu mbili. Akicheza Simba mchana basi asilimia ndogo ya mashabiki wa Simba wataingia kuisapoti Mbeya City na asilimia kubwa ya mashabiki wa Yanga wataingia kuisapoti ukiacha ile asilimia nyingine ya wazawa halisi. Ndivyo ilivyokuwa wakati tuna timu ya Majimaji, haikuwa kukosa mahudhurio hata icheze muda mmoja na Simba na Yanga.Jibu limeshajibiwa ni biashara tuu
Kikubwa ujue ukikosea kupanga ratiba ligi yako itakuwa mbovu
Azam,voda na Tpbl ndio waliokaa na vilabu wakapanga
Hivi unajua simba akicheza saa 8 dar mechi za SAA 10 mbeya na kagera hazitaangaliwa uwanjani na hata kwenye tv
Kuliko kuteseka ni kheri kugawana maumivu.