Kwanini Simba na Yanga hazichezi saa nane mchana?

Hii ipo kibiashara zaidi....Simba na Yanga ndio timu zenye wateja( mashabiki) wengi zaidi....na wateja hawa muda wao mzuri kuangalia mpira ni jioni na usiku....kuzipanga timu hizi muda wa mchana....kutapunguza mapato ya wadau....mfano wenye mabanda... kumbi za kuonyesha mpira na baa....watakosa wateja...utampata nani mchana...jua kali na wengine bado wako vibaruani....pia Azam TV mapato yake yatapungua.....mwisho anaweza kuaacha kurusha live.
 
Hii ipo kibiashara zaidi....Simba na Yanga ndio timu zenye wateja( mashabiki) wengi zaidi....na wateja hawa muda wao mzuri kuangalia mpira ni jioni na usiku....kuzipanga timu hizi muda wa mchana....kutapunguza mapato ya wadau....mfano wenye mabanda... kumbi za kuonyesha mpira na baa....watakosa wateja...utampata nani mchana...jua kali na wengine bado wako vibaruani....pia Azam TV mapato yake yatapungua.....mwisho anaweza kuaacha kurusha live.
lakini madhara yakucheza kwenye jua kali si yanajulikana? Je, ni sahihi kluzidi kuzipandisha hizi timu mbili juu na kuzigandamiza hizi nyingine?
 
Ni yapi?Acheni kujidai madaktari.

Kama hujui mpira hata ukicheza usiku utafungwa tu
lakini madhara yakucheza kwenye jua kali si yanajulikana? Je, ni sahihi kluzidi kuzipandisha hizi timu mbili juu na kuzigandamiza hizi nyingine?
 
Nimekuwa najiuliza hili swali muda mrefu inakuaje hizi timu ndogo zichezeshwe mchana wa jua kali na hawa jamaa (Simba na Yanga) wasicheze?

Je, ipo kwenye kanuni au ni utashi tu wa viongozi?
Soccer ni biashara. Azam hawafanyi hisani kurusha mechi zote bila kuacha hata moja.
Yanga na Simba zinavuta watu kununua vifurushi ili watu waangalie mpira. Hao ndiyo wacheze saa nane?
Kwanza tushukuru mgao ni sawa kwa timu zote!
 
Soccer ni biashara. Azam hawafanyi hisani kurusha mechi zote bila kuacha hata moja.
Yanga na Simba zinavuta watu kununua vifurushi ili watu waangalie mpira. Hao ndiyo wacheze saa nane?
Kwanza tushukuru mgao ni sawa kwa timu zote!
lakini unakubali kuna advantage ndani ya pitch kwa anayecheza jioni ukilinganisha na wa mchana? mbona tunalipa vifurushi na kwenye vibanda umiza kuangalia mechi za epl zinazochezwa saa nane? sisi tunakwama wapi?
 
Jibu limeshajibiwa ni biashara tuu
Kikubwa ujue ukikosea kupanga ratiba ligi yako itakuwa mbovu

Azam,voda na Tpbl ndio waliokaa na vilabu wakapanga

Hivi unajua simba akicheza saa 8 dar mechi za SAA 10 mbeya na kagera hazitaangaliwa uwanjani na hata kwenye tv
 
lakini madhara yakucheza kwenye jua kali si yanajulikana? Je, ni sahihi kluzidi kuzipandisha hizi timu mbili juu na kuzigandamiza hizi nyingine?
Iko wazi uende wapi wapo wakubwa zako .
Nambie wapi hakuna mkubwa , hata malaika wana malaika mkuu.
 
Duniani kote mpira ni biashara, ndiyo maana wawekezaji wengi wameweka pesa zao kwenye mchezo huo.
Hivyo, mapato ya malangoni na matangazo ndiyo chanzo muhimu cha pesa kwenye mchezo huo.
Kwa sababu hiyo, shirikisho la mchezo wa soka Tanzania TFF na wadhamini wake wakubwa Vodacom na Azam lazima watakuwa na makubaliano furani namna ya kuendesha ligi hiyo kwa sababu za kibiashara.
Na kwakuwa hata andiko lako hapo juu umeainisha kwamba Simba na Yanga ni timu kubwa, basi hizo ndizo zilizoshikilia biashara ya mchezo wa soka Tanzania.
Kwahiyo TFF, Azam na Vodacom ni lazima waangalie maslahi ya Yanga au Simba kucheza saa 8 au saa 10.
 
lakini unakubali kuna advantage ndani ya pitch kwa anayecheza jioni ukilinganisha na wa mchana? mbona tunalipa vifurushi na kwenye vibanda umiza kuangalia mechi za epl zinazochezwa saa nane? sisi tunakwama wapi?
Advantage haina mjadala.
 
Duniani kote mpira ni biashara, ndiyo maana wawekezaji wengi wameweka pesa zao kwenye mchezo huo.
Hivyo, mapato ya malangoni na matangazo ndiyo chanzo muhimu cha pesa kwenye mchezo huo.
Kwa sababu hiyo, shirikisho la mchezo wa soka Tanzania TFF na wadhamini wake wakubwa Vodacom na Azam lazima watakuwa na makubaliano furani namna ya kuendesha ligi hiyo kwa sababu za kibiashara.
Na kwakuwa hata andiko lako hapo juu umeainisha kwamba Simba na Yanga ni timu kubwa, basi hizo ndizo zilizoshikilia biashara ya mchezo wa soka Tanzania.
Kwahiyo TFF, Azam na Vodacom ni lazima waangalie maslahi ya Yanga au Simba kucheza saa 8 au saa 10.
Ndio maana kuna mdau hapo juu nimemuuliza tunakwama wapi ikiwa huko tunakokuita duniani kote kuna timu kubwa zinacheza mapema na biashara zinaenda kama kawaida. Huoni kwamba kwa utaratibu huu timu ndogo zitaendelea kuwa ndogo na kubwa kuwa kubwa kwa kuwa tu tunazifavour kubwa? Kama umewahi kucheza mpira unaijua adha ya kucheza kwenye jua kali hasa la saa nane. Kibiashara wanaweza kuwa sahihi lakini kwenye kuinua soka letu wanakosea.
 
Back
Top Bottom