thatHUMBLEguy
JF-Expert Member
- Nov 25, 2023
- 224
- 522
Nimekuwa nikijiuliza kwanini shule hii ya mafunzo ya sheria kwa vitendo [LAW SCHOOL] iko Dar pekee yake? Kwanini haina Matawi maeneo mengine hapa nchini?
Ninazungumzia Law School, ile ambayo inatoa Mawakili.UDOM kupata Tawi Njombe
nimekuelewa mnoNinazungumzia Law School, ile ambayo inatoa Mawakili.
Was thinking why wasi—campus, zonewise. Dom, Mwanza & Mbeya? Cc: Pascal MayallaKiuhalisia Dar ni gharama mno ukilinganisha na mikoani
Sababu za kufeli wanafunzi pale ni nyingi nyingine ndo hizi za mazingira
How? nature ya elimu ya chuo ni tofauti na Secondary.Labda wanabana uchakachuaji
You're joking, right?Mnataka mkaibie mitihani
Kwel kabisaWas thinking why wasi—campus, zonewise. Dom, Mwanza & Mbeya? Cc: Pascal Mayalla