Sio lazima usome kitu flani ili ujue area flani,kuna wachumi kibao wana pHD hawajui hata maana ya blockhain,Defi,smart contract......wakati milions usd of transactions zinapita huko per second...elimu ni zaidi ya kua na vyetiOngeza hapo neno kusomea uchumi. Sisi wasomi wengine haya mambo yametupita kushoto.