Maelezo hayatoshi mkuuKwanza nikutoe tongotongo. Currency ya nchi kuwa juu haimanishi kuwa na uchumi uko juu Sawa, currency kuwa juu au chini inaathiriwa na monetary na fiscal policy ya nchi husika kulingana na nini inachotaka nchi husika. Pia kumbuka ksh ipo karibu Sawa na yen ya Japan.
Unataka gazeti? Be specific nini hujaelewa nifafanue.Maelezo hayatoshi mkuu
Nadhani umezungumzia kwenye ground (uhalisia), safi sana. Hata mtu ambaye hana background of economics ataelewa 👏🏽Mimi huwa naona ni digits tu ndio huwa tunatofautiana,ila sio Uchumi kukua.kwa mfano,
Shilingi 10000 ya Tanzania ni Sawa na Ksh 450 lakini hapo haimaanishi hiyo 450 ni rahisi kupatikana ukiwa kenya.ni kwamba malipo yaleyale ya tsh 10000 kwa tanzania na kwa kenya ni 450.yani mzazi fukara wa kenya hawezi kumpa mwanae 450 akatumie shuleni ni hela kubwa pia kwao.
Maada ×Maada kama hii umkute Warumi au yule wangari! Kidogo mshana anaweza kujadili
Mkenya mwenye laki ni sawa na matanzani mwenye milioni mbili na laki tatu,zingatia hilo kwanza.Lets say mtanzania una laki moja na mkenya ana laki moja. Mkenya pesa yake ina power kuliko yako. Kwa maana ya kwamba wote mki exchange na dollar mkenya anakua ana dollar nyingi kuliko ww. So kama ana dollar nyingi inamaana anaweza akanunua vitu vingi kutoka kwako kuliko ww utakavonunua kutoka kwake. Kwa maana hiyo. Atakufanya ww ulazimike kufanya kazi nyingi kuliko yeye ili ku cover kiasi alicholuzidi kwenye biashara.
Au put it this way. Imagine dunia ingekua na pesa moja. Ingekua rahidi kunielewa. Kwa sababu kungekua hakuna haja ya kutumia nguvu kukuelewesha maana mkenya sasa angetakiwa kuja na laki moja ya tanzania kununua magunia 2 ya mahindi na sisi tungeweza kwenda kenya na laki moja kununua magunia mawili ya mahindi.
Lakini kwa sababu thamani ni tofauti. Ndo maana mkemya anaweza kuja na laki moja akanunua magunia 10 ya mahindi wakati wewe ukienda na laki moja kenya unanunua gunia moja.( mfano)
Ndio maana pesa ya biashara ikawa $.Mkuu iwe mtiti isiwe mtiti. Inatakiwa ujiulize ni kwann basi kusiwe na thamani moja basi. Swali linaanzia pale kwann kuwe na tofauti ya thamani. Swala sio ugumu wa upatikanaji. Hata dollar mbona inatuzidi thamani lakini mbona ni rahisi kuipata ukiwa marekani. Ugumu wa kupata pesa sio kipimo
Umuhimu wa kusoma nini? Kama ni kusoma hii elimu ya darasani basi usimlaumu aliyetoa hiyo comment. Huwezi kujua kila kitu hapa duniani hata wewe binafsi hujui mambo mengi tu tena basic kwenye profession ambazo hujazisomea au hata kwenye profession yako pia. Hivyo usimdhihaki mtu mwingine ambaye ameuliza swali kwa lengo la kujifunza.Umuhimu wa kusoma unaonekanaga kwenye mada kama hizi.
Yeye mwenyewe alielewa...nan amebeza? Khaa hebu punguza hate za ajabu ajabu ...mie nimelerate na yanayoendelea sasa jf wasomi vs vilaza! Hebu nitueUmuhimu wa kusoma nini? Kama ni kusoma hii elimu ya darasani basi usimlaumu aliyetoa hiyo comment. Huwezi kujua kila kitu hapa duniani hata wewe binafsi hujui mambo mengi tu tena basic kwenye profession ambazo hujazisomea au hata kwenye profession yako pia. Hivyo usimdhihaki mtu mwingine ambaye ameuliza swali kwa lengo la kujifunza.
Mahindi bei ipo juu kuliko dar watu wamekata mitaji hadi wengine tunauguza depression mixer presha
Unanunua gunia la mahindi 45000 , ulisafirishe. Hadi manzese dar halafu unakuta gunia hilo bei ya soko ni 35000
Ukiwa na gunia 300 plus , kuzimia na. Kuanguka inakuwa ni option rahisi, kuliko kukomaaa ukagongwe na magari kwa mawazo
Wasalimie isaka hapo
😀😀😀😬 kwamba mada kama hizi sisi vichwa panzi hatuielewi!😀😀!Maada kama hii umkute Warumi au yule wangari! Kidogo mshana anaweza kujadili
Aje Zitto hapa atudadavulie hii madaWakuu turejee.
Huwa najiuliza. Wanaohusika ku adjust (kupandisha na kushusha) thamani ya pesa kwenye mataifa ya kidunia ni nani (najua hii process haifanyei na mungu inafanywa na binadamu)
Pia nilikua najiuliza, Kenya mbona sometimes uchumi wake unayumba lakini thamani yake ya pesa inanaki palepale licha ya kwamba tanzania kuna mali za kutosha na nguvu kazi. Na sisi ndo tunalisha almost east africa nzima. Kama sisi ndo tunategemewa kwa nn sisi ndo pesa yetu isiwe na value kuliko pesa ya nchi yoyote inayo tuzunguka east afrika. Tunafeli wapi.
Pia tunajua nchi kama Kenya thamani yake ya pesa ni kubwa kuliko yetu inakua na advantage kubwa sana kutulalia. Kwa maana ya kwamba. Kwa kazi ile ile atakayofanya Mkenya na Mtanzania.
Mkenya ata gain more akitumia pesa yake. Kwa maana ya kwamba mkenya akija na pesa yaje Tanzania anaweza akanunua magunia ya chakula mengi zaidi kuliko wewe ukienda kenya na tsh. Kwa hiyo hii inampa mkenya advantage ya kutofanya kazi nyingi kama mtz.
Hii ni opinion yangu. Kama una i-challenge. Naomba uje kwenye mada.
HujajibuKwanza nikutoe tongotongo. Currency ya nchi kuwa juu haimanishi kuwa na uchumi uko juu Sawa, currency kuwa juu au chini inaathiriwa na monetary na fiscal policy ya nchi husika kulingana na nini inachotaka nchi husika. Pia kumbuka ksh ipo karibu Sawa na yen ya Japan.
Yeye hajui ,mjibuni ache mbwembweUkitaka kujua tulifikaje hapa inabidi uanzie kwenye vita ya kagera na after effects zake then uje kwenye masharti ya ifm na wb kwa Nyerere kutaka serikali ishushe thamani ya shilingi yake ili ipate misaada..since then tumeweza ku maintain the gape difference bt not catch up to them.
Hasa sisi wa PhD za kemiaOngeza hapo neno kusomea uchumi. Sisi wasomi wengine haya mambo yametupita kushoto.
Fafanua sijajibu nini?Hujajibu
Hio 4,444ksh ni pesa ya mshahara mkubwa tu wa mtu Kenya,na huwezi kumiliki hata kipande cha ardhi kulima.N nouma juzi nilituma pesa kwenda kenya kupitia m-pesa. Mambo yalikuwa hivi
1.100,000tsh=4,444ksh
2.350,000tsh=15,400ksh.
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app