Mtumishi Wetu
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 5,712
- 1,906
Wakuu salaam,
Kama serikali hii ya CCM ina huruma na watu wa Tanzania kwa nini inangangania kukopa fedha zaidi kwenye mabenki na mashirika ya kimataifa wakati tunalo deni la Trillion 22?
Kweli hawa wakubwa zetu wana huruma na Watanzania, fedha zoote hizo wana kopa ili wazifanyie nini, ni shughuli za maendeleo au matumizi ya anasa?
Kuna ukweli wowote uchumi wa nchi hii unakua kwa 7%?
Tafadhari hebu tutafakari kuhusu hilo, au ni mlengo wa kuangamiza taifa letu kulitumbukiza kwenye utumwa wa madeni???
Kama serikali hii ya CCM ina huruma na watu wa Tanzania kwa nini inangangania kukopa fedha zaidi kwenye mabenki na mashirika ya kimataifa wakati tunalo deni la Trillion 22?
Kweli hawa wakubwa zetu wana huruma na Watanzania, fedha zoote hizo wana kopa ili wazifanyie nini, ni shughuli za maendeleo au matumizi ya anasa?
Kuna ukweli wowote uchumi wa nchi hii unakua kwa 7%?
Tafadhari hebu tutafakari kuhusu hilo, au ni mlengo wa kuangamiza taifa letu kulitumbukiza kwenye utumwa wa madeni???