Kwanini Serikali iliamua kununua mabasi ya mwendokasi yenye injini za CUMMINS wakati si imara wala madhubuti?

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,871
155,840
Mabasi yetu mazuri na yaliyo badilisha muonekano na mfumo mzima wa Usafiri yanatumia injini za CUMMINS.

Injini za CUMMINS ndizo ziko KWENYE mabasi yanayoingia nchini kutoka China.

Injini za CUMMINS hazidumu kwa muda mrefu ndio maana huwezi kuliona Basi la Yutong lenye namba za usajili zinazo anzia na T000A-- au B, na ukiiona itakuwa imefungwa engine ya Scania.

Je, ni kitu gani kilipelekea serikali kufanya hii procurement?
Je, kuna watu Wana maslahi binafsi na supplier ili kila baada ya muda Fulani waagize tena mabasi?
Je, hatukuwa na hela ya kutosha kununua mabasi imara?
 
Cummins ni engine ya kimarekani ni engine inayotumika sana kwenye shughuli mbali mbali huko Marekani na kwingineko .Lakini Engine katika mabasi ya mwendokasi ni CUMMINS made in China,hatujui kama genuine au fake engine.

Engine nazo zina maintenance procedures, Planned Maintenance, Aina ya mafuta na oil kama ni compatible, usafi, ujuzi n.k
 
Nadhani issue itakuwa kwenye service. Pia hali ya hewa ya joto kama Dar sidhani kama walitilia maanani.Gari inayowashwa saa 10 alfajiri inakuja kuzimwa saa 5 usiku kama service yake ni kuweka vi oil vya bei rahisi ili kusave gharama lazima itasumbua tu,ndio maana transporters na wamiliki wa mabasi wale wakongwe kama wakina Abood, Shabiby, Kilimanjaro n.k wako makini sana kwenye hili.
 
Bujibuji,

Ebu weka technical performance/specifications za engine hizo!

Cummins is an American Fortune 500 corporation that designs, manufactures, and distributes engines, filtration, and power generation products. Wikipedia
Stock price: CMI (NYSE) US$172.17 -1.87 (-1.07%)
Headquarters: Columbus, Indiana, United States
Number of employees: ~58,600 (2018)
Founded: 1919, Columbus, Indiana, United States
Subsidiaries: Cummins Filtration Inc, Hydrogenics, MORE
Founders: Clessie Cummins, William Glanton Irwin
 
Ebu weka technical performance/specifications za engine hizo!


Cummins is an American Fortune 500 corporation that designs, manufactures, and distributes engines, filtration, and power generation products. Wikipedia
Stock price: CMI (NYSE) US$172.17 -1.87 (-1.07%)
Headquarters: Columbus, Indiana, United States
Number of employees: ~58,600 (2018)
Founded: 1919, Columbus, Indiana, United States
Subsidiaries: Cummins Filtration Inc, Hydrogenics, MORE
Founders: Clessie Cummins, William Glanton Irwin
Cummins ya marekeni warant ni 5 years ile ndio Cummins original zipo mpaka scania zina engine yao iliyoundwa na Cummins ila Cummins ya china ni formula wanatumia kuundia zile zao hazidumu warant ni 1 year only.

Hata geabox wanatumia ZF yao ya kucopy formula ambayo inaendana na ZF ya muitaliano mwenye ZF original unaipata kwenye SCANIA BUS, NISSAN DIESEL CB series mabasi ya MAN nk ila ya kichina miezi 6 tuu inaanza kumiss
 
Cummins ya marekeni warant ni 5 years ile ndio Cummins original zipo mpaka scania zina engine yao iliyoundwa na Cummins ila Cummins ya china ni formula wanatumia kuundia zile zao hazidumu warant ni 1 year only.
Asante kwa elimu!, nilitaka kushangaa USA watengeneze takataka kma zile! Kubukumbu zangu zinanieleza CUMMINS ni engine bora kwa experience yangu ya generators!
 
Cummins ya marekeni warant ni 5 years ile ndio Cummins original zipo mpaka scania zina engine yao iliyoundwa na Cummins ila Cummins ya china ni formula wanatumia kuundia zile zao hazidumu warant ni 1 year only.

Hata geabox wanatumia ZF yao ya kucopy formula ambayo inaendana na ZF ya muitaliano mwenye ZF original unaipata kwenye SCANIA BUS, NISSAN DIESEL CB series mabasi ya MAN nk ila ya kichina miezi 6 tuu inaanza kumiss
Mkuu hao ZF ni wajerumani, wanadili na utengenezaji wa gearbox za magari,mitambo na Meli.

Jamaa hizo gearbox ni ZF wenyewe maana miaka ya nyuma walikuwa na Sera ya kuwafata manufacturer wakubwa na kuingia nao ubia.

Hao ZF huko China wameingia joint venture na wachina. Hata ukicheki greda za kichina zina gearbox za ZF.
 
Africa hatupendi kuthamini vya kwetu, Kenya wao kwenye mradi wa mabasi ya mwendokasi hawakuagiza nje waliwapa tenda Isuzu watengeneze hizo Basi.

Basi zilipokamilika watu wa kwanza kukosoa ilikuwa ni wakenya ingawa tatizo ya zile gari ilikuwa milango haina upana mkubwa. Watu walikosoa mpaka Raisi wao akashauriwa waagize basi kutoka South Africa.
 
Back
Top Bottom