Ukifuatilia kesi bandia ya Serikali dhidi ya Tundu Lissu, unapata ujumbe mmoja ulio dhahiri kabisa kuwa, "Mawakili wa Serikali wana uwezo mdogo sana wa akili na Taaluma!
Maswali Muhimu ya kujiuliza:
1. Ni kweli mawakili wa Serikali ni watu wenye akili na weledi mdogo sana? Kama ndivyo, kwa nini Serikali huwa inawataka hao mawakili wenye akili na uwezo mdogo sana? Je, yawezekana Serikali inaamini kuwa ikiwaajiri mawakili wenye akili na uwezo mzuri wakakataa kutumika kama vikaragosi?
2. Je, yawezekana hawa mawakili wana akili na uwezo mzuri, bali kwa makusudi huwa wanajifanya wana akili na uwezo mdogo, kama njia ya kupinga kutumika kwao kama vikaragosi?
3. Je, yawezekana wana akili na uwezo mzuri, lakini kutokana na dhamira mbaya na shetani aliyejaa mioyoni mwao, Mungu huamua kuwaaibisha, ili kuonesha ukuu wake?
Kwa kweli uwezo na hoja za mawakili wa Serikali, naamini hata mwanafunzi wa mwaka wa pili wa sheria anaweza kufanya arguments bora zaidi za kisheria kuliko hawa vilaza?
Maswali Muhimu ya kujiuliza:
1. Ni kweli mawakili wa Serikali ni watu wenye akili na weledi mdogo sana? Kama ndivyo, kwa nini Serikali huwa inawataka hao mawakili wenye akili na uwezo mdogo sana? Je, yawezekana Serikali inaamini kuwa ikiwaajiri mawakili wenye akili na uwezo mzuri wakakataa kutumika kama vikaragosi?
2. Je, yawezekana hawa mawakili wana akili na uwezo mzuri, bali kwa makusudi huwa wanajifanya wana akili na uwezo mdogo, kama njia ya kupinga kutumika kwao kama vikaragosi?
3. Je, yawezekana wana akili na uwezo mzuri, lakini kutokana na dhamira mbaya na shetani aliyejaa mioyoni mwao, Mungu huamua kuwaaibisha, ili kuonesha ukuu wake?
Kwa kweli uwezo na hoja za mawakili wa Serikali, naamini hata mwanafunzi wa mwaka wa pili wa sheria anaweza kufanya arguments bora zaidi za kisheria kuliko hawa vilaza?