shwjo
New Member
- Apr 21, 2019
- 3
- 2
Mataa ya Mwenge ni one of the busiest intersections hapa mjini. Hili ni miongoni mwa maeneo yanayofahamika sana kuwa chanzo cha foleni. Ni hasa kwa watu wanaoelekea maeneo ya Tangi Bovu, Tegeta, Bunju, Kunduchi n.k. Ni eneo ambalo miundombinu yake si ya kimajaribio, bali ni eneo la mkakati.
Cha kushangaza zaidi? 🤯
Badala ya kupunguza mzigo, wanaweka pia kituo cha mwendokasi pale pale Mwenge. Kuashiria, sio sehemu yenye bugudha, Yaani si eneo ambalo tayari limeelemewa.
Swali:
👉 Kwanini serikali haioni haja ya kujenga flyover kudhibiti hilo eneo?
Bila flyover, Mwenge itabaki kuwa kiwanda cha foleni milele. Ma-traffic wa pale na mataa yenyewe haya tofautiani sana. Wote wanaelemewa.
Cha kushangaza zaidi? 🤯
Badala ya kupunguza mzigo, wanaweka pia kituo cha mwendokasi pale pale Mwenge. Kuashiria, sio sehemu yenye bugudha, Yaani si eneo ambalo tayari limeelemewa.
Swali:
👉 Kwanini serikali haioni haja ya kujenga flyover kudhibiti hilo eneo?
Bila flyover, Mwenge itabaki kuwa kiwanda cha foleni milele. Ma-traffic wa pale na mataa yenyewe haya tofautiani sana. Wote wanaelemewa.