Rio Shabazz
JF-Expert Member
- Jan 18, 2024
- 1,334
- 2,169
Tumekuwa na watu wanaotumiwa kwa manufaa ya kundi fulani kuuvunja au kuuharibu muungano na serikali imeshindwa kabisa kupambana nao Hii inaonesha udhaifu wa serikali na kufa kwa serikali au chama tawala.
Huwezi unganisha nchi afu usitegemee kuwepo na maaduni (kila watu huwa na maslahi binafsi)
Kama ilivo huwa naturally kuna watu watataka mkoa fulani ujitenge bas na muungano ni hivo hivo.
Kufa kwa Soviet, Ethiopia, Sudan,
Marekani ingekuwa dhaifu kusingekua na muungano.
Tuadapt sera ya china . Nyonga wote wanaojifanya wanapigania waafrica kutengana wanatumiwa na watu wa nje.
Huwezi unganisha nchi afu usitegemee kuwepo na maaduni (kila watu huwa na maslahi binafsi)
Kama ilivo huwa naturally kuna watu watataka mkoa fulani ujitenge bas na muungano ni hivo hivo.
Kufa kwa Soviet, Ethiopia, Sudan,
Marekani ingekuwa dhaifu kusingekua na muungano.
Tuadapt sera ya china . Nyonga wote wanaojifanya wanapigania waafrica kutengana wanatumiwa na watu wa nje.