Kwanini scientists (wanasayansi) hatuamini katika Mungu?

Intelsat

JF-Expert Member
Feb 29, 2016
323
532
Wakuu salama humu? Japo nina mawazo ya hapa na pale ila ntaendelea na mijadala pitia MMU kuna uzi kule nahitaji sana shauri zenu

Back to the topics Je kipi kinatupelekea scientists kuwa atheist tusioamini ktk mungu kwanza tuelewe misingi ya sayansi ni kujua jambo,Kulitathimini,kulichunguza na sambamba na kutoa hitimisho Je nini kinachotufanya tuone mungu ni nadharia isiyokuwepo? Walimu wetu kama mtume,Yesu,Abraham, Musa,Daudi na wengineo walieleza sana habari za mungu muumba sambamba na ukuu wake waliandika walioyo yasikia au waliyosimuliwa na kuyaweka ktk maandishi kiukweli ni miaka mingi sana lakini sijui ni nani alikuja kusema mambo haya ni fixed yani hayatabadilika hata itokee nini huyo ndo alio aribu kasahau kuwa kila kitu kibabadilika sasa huyu anaetaka tuishi kwa miongozo ya kina musa wakati huu wa karne ya 21 ana akili kweli? Nagusa juu juu tu mimi ni astronomer ambao ni miongoni mwa wana sayansi tusiokubali kuwa whole universe imekuwa designed na mtu nina nondo nyingi ntazishusha ndani ya thread karibuni
 
Wakuu salama humu? Japo nina mawazo ya hapa na pale ila ntaendelea na mijadala pitia MMU kuna uzi kule nahitaji sana shauri zenu

Back to the topics Je kipi kinatupelekea scientists kuwa atheist tusioamini ktk mungu kwanza tuelewe misingi ya sayansi ni kujua jambo,Kulitathimini,kulichunguza na sambamba na kutoa hitimisho Je nini kinachotufanya tuone mungu ni nadharia isiyokuwepo? Walimu wetu kama mtume,Yesu,Abraham, Musa,Daudi na wengineo walieleza sana habari za mungu muumba sambamba na ukuu wake waliandika walioyo yasikia au waliyosimuliwa na kuyaweka ktk maandishi kiukweli ni miaka mingi sana lakini sijui ni nani alikuja kusema mambo haya ni fixed yani hayatabadilika hata itokee nini huyo ndo alio aribu kasahau kuwa kila kitu kibabadilika sasa huyu anaetaka tuishi kwa miongozo ya kina musa wakati huu wa karne ya 21 ana akili kweli? Nagusa juu juu tu mimi ni astronomer ambao ni miongoni mwa wana sayansi tusiokubali kuwa whole universe imekuwa designed na mtu nina nondo nyingi ntazishusha ndani ya thread karibuni

Nafikiri wewe ndiye mtu sahihi wa kutuelimisha juu ya hilo maana umesema kuwa na wewe huamini
 
Hahahaa wewe mwenyewe ni sehemu ya tatizo...kichwa cha habari kinajieleza.
Tatizo lenu mnataka Mungu mumpime kwenye maabara zenu. Bahati mbaya wewe huna imani so hata ueleweshwe vp huwezi kukubali.
 
Hahahaa wewe mwenyewe ni sehemu ya tatizo...kichwa cha habari kinajieleza.
Tatizo lenu mnataka Mungu mumpime kwenye maabara zenu. Bahati mbaya wewe huna imani so hata ueleweshwe vp huwezi kukubali.
Mkuu Unajua misingi ya science? kuna vitu vingi viko theorised havikubaliki mpaka viwe proved mfano Gravitational waves alizo predict Albert Einstein miaka mia nyuma
 
Mkuu Unajua misingi ya science? kuna vitu vingi viko theorised havikubaliki mpaka viwe proved mfano Gravitational waves alizo predict Albert Einstein miaka mia nyuma
I can prove science inside Quran..kwanini hujiulizi why Armstrong convertrd to Islam ?
 
Nakubaliana na wewe ingawa mimi si mwana sayansi. Nimejiuliza dhana hii ya Mungu ilianzaje? Nahisi mtu anapofikia mahali hawezi solve tatizo anatafuta pa kukimbilia au mtu wa kumlaumu. Pakukimbilia ni kwenye giza ambapo mtu hamuoni na kuomba kwamba toka huko uje unione. Pa kulaumu ni pale mtu atasingizia paka wa jirani, upepo mbaya, jirani, bibi, mama mkwe, wifi au watu waliokufa zamani kwamba ndo wanaleta yote hayo kwa kutumia wajanja kama wahubiri wa kwenye miti (Embandwa) au akina Gwajima, Lwakatare, sheikh Mponda na wengine tu ili mradi wakulainishe ukubali.

Kila siku narudi na swali langu ambalo hakuna analijibu tunapojadili mambo ya imani. Who created the dinosaurs ? sababu kwenye vitabu vyote hawa viumbe hawatajwi wakati walikuwepo kabla yetu.
 
Nakubaliana na wewe ingawa mimi si mwana sayansi. Nimejiuliza dhana hii ya Mungu ilianzaje? Nahisi mtu anapofikia mahali hawezi solve tatizo anatafuta pa kukimbilia au mtu wa kumlaumu. Pakukimbilia ni kwenye giza ambapo mtu hamuoni na kuomba kwamba toka huko uje unione. Pa kulaumu ni pale mtu atasingizia paka wa jirani, upepo mbaya, jirani, bibi, mama mkwe, wifi au watu waliokufa zamani kwamba ndo wanaleta yote hayo kwa kutumia wajanja kama wahubiri wa kwenye miti (Embandwa) au akina Gwajima, Lwakatare, sheikh Mponda na wengine tu ili mradi wakulainishe ukubali.

Kila siku narudi na swali langu ambalo hakuna analijibu tunapojadili mambo ya imani. Who created the dinosaurs ? sababu kwenye vitabu vyote hawa viumbe hawatajwi wakati walikuwepo kabla yetu.
Mkuu narudi wacha nichaji haka kakimeo kangu
 
Sababu hamna maelezo ya kisayansi kuhusu uwepo wa Mungu.
Hili swali sio kwa wanasayansi tu, hata baadhi ya wasomi huumiza kichwa uwepo wa Mungu.
 
I can prove science inside Quran..kwanini hujiulizi why Armstrong convertrd to Islam ?
Prove it.
Na utakuwa bwegghe wa mabwegghe kama unafikiri an american scientist of that time and that magnitude could/ can convert to islam.
 
mr Nusuhela, huko wapi kuna mwenzio huku, njoo mtupe knowledge maana kila kukicha kuna maswali mengi majibu haba kuhusu uwepo wa Mungu!
 
Mwanasayansi gani wewe unashindwa kujua uwepo wa supernatural power? Usijumuishe sisi pia wanasayansi tunaoamini Mungu yupo, kwahiyo wewe sema huamini
 
Tatizo nyinyi wanasayansi hamjielewi, na hamuwezi kuprove kua hamjielewi ndio maana hamjui kama hamjielewi.

Wewe unasema sayansi haiwezi kudhibitisha au kuprove uwepo wa mungu, but unasahau kua sayansi ni elimu/means ya kuelewa mambo yaliyopo ktk universe....

Sasa mimi nahitaji uniambie kua nini mwanzo wa creation zote tuzionazo, tuzisikiazo, tuzihisizo na mengine mengi..

Tatizo mnasahau kua hiyo sayansi siyo mwanzo wa kila kitu, ni elimu ya kujua mambo yaliyopo. And it's a long process it takes ages and lots of generations.

Inawezekena hiyo elimu yenu ya sayansi bado ni changa sana as ukilinganisha na Mungu na Ufalme wake (btw sayansi ni dependant factor kwakua inategemea kukuta maumbile mbali mbali ya vitu na hari ili ije kuprove), sasa kwa mantiki hii, pengine u scientists still need more centuries if not Millenniums ili kujua kila kitu kuhusu mungu.. (i can prove this).... Kwani hata mwanzo hamkujua kama dunia ni duara and it took you alot of centuries to know the earth is spherical.

Naomba nishauri tu kua semeni hivi, kwa sasa hamjapata uwezo wa kuona uwepo wa mungu kwa kutumia hivyo vijielimu vyenu vya sayansi labda mmsubiri saana....

"religion is ahead science"... Kwa quote hii tu kuna ushahidi mwingi tu...
 
Mungu yupo. Acha uwenda wazmu. Kama huamini Mungu. Basi nenda kasome kitabu cha kale kuliko cha kwako ambcho umewahi kukisoma. Kinasema Mungu alisema Neno basi ulimwengu ukawepo. Nikiwa na maana kuwa ulimwengu haukuwepo ila mungu alweza kuutoa ulimwengu ambao hata kwenye fikra haukuwepo ukawepo. Sasa kama ww ni mwanasayansi fanya kitu ambcho hakikuwepo kwenye hata fkra zaka kikawepo. Ww umepewa utashi wa kutumia material things. Ila huna uwezo wa kutoa kitu ambcho hata hukuwahi fikiria kikawepo. Soma zaidi biblia kwenye uumbaji utajua kama ngombe na wanyama wengne walitokea kama bahati au walinenewa neno na Mungu.
 
Mungu yupo. Acha uwenda wazmu. Kama huamini Mungu. Basi nenda kasome kitabu cha kale kuliko cha kwako ambcho umewahi kukisoma. Kinasema Mungu alisema Neno basi ulimwengu ukawepo. Nikiwa na maana kuwa ulimwengu haukuwepo ila mungu alweza kuutoa ulimwengu ambao hata kwenye fikra haukuwepo ukawepo. Sasa kama ww ni mwanasayansi fanya kitu ambcho hakikuwepo kwenye hata fkra zaka kikawepo. Ww umepewa utashi wa kutumia material things. Ila huna uwezo wa kutoa kitu ambcho hata hukuwahi fikiria kikawepo. Soma zaidi biblia kwenye uumbaji utajua kama ngombe na wanyama wengne walitokea kama bahati au walinenewa neno na Mungu.
 
Back
Top Bottom